Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
eddie avila, director rising voices, live from cochabamba, bolivia
eddie avila, mkurugenzi wa kitengo cha rising voices, kinachoshughulika na kuinua sauti za wanablogu wanaochipukia yeye akiwa cochabamba, bolivia
350.org activists climb to the chacaltaya glacier in bolivia in preparation for a major event on october 24.
wanaharakati wa 350.org wakikwea kwenye 'mlima' barafu chacaltaya huko bolivia kufanya maandalizi ya tukio kubwa mnamo tarehe 24 oktoba.
as previously reported on global voices, the first national meeting to promote connectivity in bolivia took place in late january 2012.
kama ilivyokuwa imeripotiwa na (tovuti ya) global voices , mkutano wa kwanza wa kitaifa wa kukuza uunganishwaji wa intanenti nchini bolivia national meeting to promote connectivity in bolivia ulifanyika mwishoni mwa januari 2012.
bloggers and activists are advocating for universal access and "minimum acceptable speeds" for internet connections in bolivia.
wanablogu na wanaharakati wanatetea haki ya kupata “kiwango cha chini kinachokubalika cha kasi” ya kuunganishwa na mtandao wa intaneti nchini bolivia.
fifteen years later, in 2000, olivera played a key role in a resistance movement that stopped the privatization of water in cochabamba, bolivia.
miaka kumi na mitano baadae, mwaka 2000, olivera alihusika kwa kiasi kikubwa katika vuguvugu la upinzani lililomaliza jaribio la ubinafsishaji wa maji mjini cochabamba, bolivia.
it also shows that in bolivia, one mbps costs between 6 and 11 times more than in neighbouring countries including paraguay, also a land-locked country.
mchoro huo unaonyesha pia kwamba nchini bolivia, megabaiti moja kwa sekunde inagharimu kati ya mara 6 na 11 zaidi ya inavyokuwa katika nchi nyingine za jirani kama paraguay, nchi ambayo ina eneo dogo sana la ardhi.
a powerful 8.3-magnitude earthquake hit northern chile and southern peru, as well as neighboring areas in bolivia, during the early evening of tuesday, april 1, 2014, triggering a tsunami warning for the coastline.
tetemeko kubwa lenye vipimo vya tetemeko 8.3 limeitikisa sehemu ya kaskazini mwa chile na kusini mwa peru, pamoja na maeneo ya jirani nchini bolivia, saa za jioni siku ya jumanne ya april mosi, 2014, hali iliyosababisha tishio la tsunami kwenye ukanda huo wa pwani.