Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
the country was youthful, internet savvy and early to innovate with online political dialogue.
nchi ilikuwa changa, watu wakiwa na uelewa wa mtandao wa intaneti na ilikuwa ya kwanza kufanya mijadala ya kisiasa mtandaoni.
common dialogue writes, "the anc will talk to malema about his racial utterances?
blogu ya common dialogue inaandika “ anc itaongea na malema kuhusu kauli zake za kibaguzi?
it is a brilliant initiative that creates a worldwide action, a global community, and a great dialogue.
ni mradi mzuri unaojenga mazoea ya wajibu wa pamoja duniani, familia kidunia, na kuibua mjadala mkubwa.
the turkish government must enter into serious dialogue with these prisoners who now risk their lives to expose the injustice under which they live.
serikali ya kituruki lazima kuingia katika mazungumzo makubwa na wafungwa hawa ambao sasa wanahatarisha maisha yao ya kufichua dhuluma wanayofanyiwa.
but what is unique about queen rania is that she is the only arab figure who uses the internet to engage in a dialogue with the west to promote a moderate islamic speech.
lakini jambo la kipekee kuhusu malkia rania ni kwamba yeye ni muarabu pekee maarufu anayetumia mtandao wa intaneti kwa ajili ya mazungumzo na ulimwengu wa magharibi ili kutetea mtazamo wa wastani wa kiislamu.
an online petition has been launched, with 3,451 supporters so far, that asks the turkish government to engage in constructive dialogue with the prisoners.
hati ya mtandaoni ya kupinga kitendo hicho imezinduliwa, ina wafuasi 3451 hadi sasa, inayoitaka serikali ya kituruki kushiriki katika mijadala inayojenga na wafungwa.
during the previous government, the dialogue between the government and the communities was mediated by the ombudsman, as documents show, but this time he was denied access.
wakati wa serikali iliyotangulia, majadiliano kati ya serikali na wanajamii yalipatanishwa na ombudsman kama hati zinavyoonesha, lakini kwa kipindi hiki, alizuiwa kufanya hivyo.
continuing on this line, common dialogue asks, "is terre blanche’s blood on malema’s hands?":
ikiendelea katika mistari hiyo hiyo, common dialogue inahoji, "je damu terre blanchie ipo mikononi mwa malema?”:
others are unhappy about any dialogue with "the great satan," as the united states is most often referred to in iran's official speeches.
wengine hawakufurahia mazungumzo hayo na "shetani mkuu," jina ambalo marekani huitwa kila hotuba rasmi za iran zinapotolewa.
according to an image published by josé meza (@josegremeza), in maracaibo students were demanding a dialogue with police officers who arrived at the square where they were protesting:
kwa mujibu wa picha iliyochapishwa na josé meza (@josegremeza), jijini maracaibo wanafunzi walikuwa wakidai mazungumzo na maafisa wa polisi waliowasili katika viwanja hivyo kwa mijanajili ya kuandamana:
additionally, national political personalities were promoting street assemblies , also known as #lasalida (the exit), aiming to “promote debate and dialogue to attain a democratic exit to some of the problems affecting our nation”.
kwa nyongeza, wanasiasa maarufu wa kitaifa walikuwa wakitangaza mikutano ya mitaani , inayofahamika kwa jina la #lasalida (pa kutokea), iliyokuwa imelenga "kukuza majadiliano na midahalo ili kupata demokrasia ya kuwaokoa raia na matatizo yanayolikabili taifa”.