Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
and we sailed away from philippi after the days of unleavened bread, and came unto them to troas in five days; where we abode seven days.
sisi, baada ya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, tulipanda meli kutoka filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule troa. huko tulikaa kwa muda wa juma moja.
and from thence to philippi, which is the chief city of that part of macedonia, and a colony: and we were in that city abiding certain days.
kutoka huko, tulikwenda mpaka filipi, mji wa wilaya ya kwanza ya makedonia, na ambao pia ni koloni la waroma. tulikaa katika mji huo siku kadhaa.
but even after that we had suffered before, and were shamefully entreated, as ye know, at philippi, we were bold in our god to speak unto you the gospel of god with much contention.
mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule filipi kabla ya kufika kwenu thesalonike. ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni habari njema yake.
and jesus went out, and his disciples, into the towns of caesarea philippi: and by the way he asked his disciples, saying unto them, whom do men say that i am?
kisha yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya kaisarea filipi. walipokuwa njiani, yesu aliwauliza wanafunzi wake, "watu wanasema mimi ni nani?"