Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
il 5 marzo 2014 il celebre blogger egiziano alaa abd el fattah ha trascorso il suo centesimo giorno in prigione senza essere stato ancora processato.
mwanablogu maarufu nchini misri alaa abd el fattah alimalizia siku yake ya 100 katika gereza bila ya kufunguliwa mashitaka leo.
il 16 marzo è il millesimo giorno di imprigionamento di reeyot alemu e un esempio di come l'etiopia sia governata da precetti, ingiustizia e oppressione.
machi 16 ni siku ya 1000 ya kifungo cha reenyotalemu na inaonyesha namna ethipia inavyotawala kiimla, uonevu na kwa unyanyasaji
dallo scorso marzo, loveless pubblica foto dei suoi viaggi in afghanistan su twitter, usando l'hashtag da lui inventato #theafghanistanyouneversee.
tangu mwezi machi 2012, loveless amekuwa akiweka picha anazopiga katika safari zake nchini afghanistan kupitia mtandao wa twita, kwa kutumia alama ishara aliyoitengeneza yeye, #theafghanistanyouneversee.
il 14 marzo scorso la corte penale internazionale ha dichiarato colpevole di crimini di guerra il primo leader ribelle del congo orientale, thomas lubanga , per aver reclutato dei bambini in un conflitto armato.
makala hii inatokana na maudhui yaliyochapishwa kwanza kupitia kampeni ya kukusanya ushahidi wa picha za video inayoitwa witness. mnamo tarehe 14 machi, 2012, mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ilimtia hatiani thomas lubanga, kiongozi wa zamani wa waasi huko kongo mashariki, kwa kuwatumia watoto katika mgogoro wa kivita – jambo linaloangukia miongoni mwa makosa ya kivita.
degli altoparlanti sono stati sequestrati dalla polizia durante un raduno a rufisque. il movimento ha tuttavia ricevuto l'autorizzazione ufficiale per l'evento del 19 marzo.
polisi pia walikamata vipaza sauti katika mkutano wa hadhara wa tarehe 19 machi, 2011, kwenye mji wa rifisque, karibu na dakar, bila kujali ukweli wa kwamba kundi hilo lilipewa kibali rasmi cha kufanya tukio lile.
dall'inizio di marzo la mobilitazione è uscita dal web e il collettivo "y'en a marre" è diventato la punta di lancia della contestazione.
tangu mwanzoni mwa mwezi wa tatu, uanaharakati huo umeachana na ulimwengu wa mtandao na kundi linalojiita "y'en a marre" (imetosha sasa basi) sasa limegeuka na kuwa alama ya vuguvugu la upinzani.
antico mercato di homs, dopo i bombardamenti e conseguenti incendi, 6 marzo 2012.fonte: profilo facebook di yazan homsy, pubblicata con il permesso dell'autore.
soko la zamani jijini homs baada ya kulipuliwa kwa bomu na kuunguzwa. 06/13/2012.