Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
cinco compañías habrían malversado los fondos para luchar contra el ébola en sierra leona:
makampuni matano nchini sierra leone yanasemekana kutumia fedha zilizokusudiwa kupambana na ebola kwa njia za kifisadi:
en sierra leona, hannah foullah está usando facebook para luchar contra el estigma relacionado con el ébola.
nchini sierra leone, hannah foullah anatumia mtandao wa facebook kupambana na unyanyapaa dhidi watu wenye ebola.
el número de víctimas aumenta rápidamente en los tres países más severamente afectados de África occidental: guinea, liberia y sierra leona.
idadi ya wahanga wa ugonjwa huo inaongozeka kwenye nchi tatu zilizoathiwa zaidi huko afrika magharibi: guinea, liberia na sierra leone.
el 31 de agosto ya habían muerto unas 1900 personas en guinea, liberia, nigeria y sierra leona, según la organización mundial de la salud.
kufikia mwezi agosti 31, takribani watu 1,900 katika nchi za guinea, liberia, naijeria na sierra leone wamepoteza maisha yao, kwa mujibu wa shirika la afya duniani.
he aquí las cinco compañías que se adjudicaron los contratos más importantes para proporcionar bienes y servicios a la respuesta de ébola de sierra leona incluidas en el informe de auditoría fondos de ébola que cubre el periodo mayo-octubre 2014.
haya hapa makampuni matano yaliyokuwa yameingia mikataba mikubwa ya kusambaza vifaa na kutoa huduma katika kupambana na ugonjwa wa ebola nchini sierra leone kama yalivyoorodheshwa kwenye taarifa ya ukaguzi ya fedha za kupambana na ebola kwa kipindi cha kuanzia mei - oktoba 2014.