Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
serikali ya luanda inapanga kulihamisha soko hilo kutoka sambizanga kwenda panguila, karibu kilomata 30 kaskazini mwa luanda.
the luandan government plans to move the market from the sambizanga to panguila, located nearly 30 kilometers to the north of luanda.
baada ya hayo, akijisikia kutishiwa mjini luanda, alitafakari na kumdokeza siri hiyo kwa rafiki kuwa alitamani kurudi nyumbani.
afterwards, feeling threatened in luanda, she considered and confided to a friend that she desired to return back home.
kwa mujibu wa tafiti iliyofanywa mwezi wa pili na kampuni ya kiingereza, eca international – mji wa luanda ni wa kwanza kati ya miji ghali kupita yote duniani.
according to a survey conducted in february by an english company, eca international - luanda ranks first among the most expensive cities in the world.
katika mitandao ya kijamii vuguvugu lililipuka kuzishinikiza mamlaka za nchi ya guinea kuchunguza mazingira ya kupotea kwa mwandishi huyo na mhadhiri wa chuo kikuu miezi sita liyopita katika jiji la luanda, alikokuwa akiishi tangu mwaka 2004.
on social networks a movement sprung up to pressure guinean authorities to investigate the disappearance, six months ago, of the journalist and university professor in the angolan capital city luanda, where she has lived since 2004.
kwenye blogu ya rispito , raia wa guinea samba bari anadhani kuwa kutoweka kwa mwandishi huyo ni changamoto nyingine kwa serikali ya mpito na kuwa hali hiyo inaweza kuongeza misuguano kati ya serikali ya guinea isiyotambuliwa na luanda na serikali ya angola.
on the blog rispito , the guinean samba bari alleges that the disappearance is another challenge for the transitional authorities and that the situation could widen the fissure between the guinean government not recognized by luanda and the angolan government.
mnamo novemba 3,sindicato dos jornalistas angolanos (umoja wa waandishi wa angola) ulidai kwamba mwandishi wa guinea "amefanyiwa ugaidi" jijini luanda:
on last november 3, the sindicato dos jornalistas angolanos (union of angolan journalists) denounced that the guinean journalist had been “terrorized” in luanda: