Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
mhadhiri
lecturer
Ultimo aggiornamento 2016-12-15
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
Riferimento:
zelalem, mshitakiwa wa kwanza, ni mhadhiri na mwanaharakati wa haki za binadamu anayeblogu kwenye blogu ya debirhan.
zelalem, the first defendant, is an academic and a human rights activist who blogs at debirhan.
raia watumiao mtandao walichukua muda kuanza kuzungumzia suala hili kwa kujua kuwa palikuwa na shitaka dhidi ya mhadhiri wa chuo kikuu kufuatia kile alichokuwa amekiweka kwenye ukurasa wake.
the netizens were slow to react on this as they know that there had been a law suit against an university teacher for his facebook status.
katika mitandao ya kijamii vuguvugu lililipuka kuzishinikiza mamlaka za nchi ya guinea kuchunguza mazingira ya kupotea kwa mwandishi huyo na mhadhiri wa chuo kikuu miezi sita liyopita katika jiji la luanda, alikokuwa akiishi tangu mwaka 2004.
on social networks a movement sprung up to pressure guinean authorities to investigate the disappearance, six months ago, of the journalist and university professor in the angolan capital city luanda, where she has lived since 2004.
juni 27 kulikuwa na mkutano uliofanyika katika chuo kikuu cha toronto nchini canada, mahali ambapo alex ni mwanafunzi wa shahada ya uzamifu (phd) na mhadhiri msaidizi.
on june 27 there was a meeting held at the university of toronto in canada, where alex is a phd student and teaching assistant.
mwanasheria anayeheshimika na mhadhiri kwenye chuo kikuu cha ghana, kitivo cha sheria, dr. raymond atuguba ameonyesha kwa umakini jinsi wanamgambo wa eneno la delta ya naija, wanaojulikana kwa ukorofi wa kulipua mabomba ya mafuta, kuteka watu nyara na kudai dhamana kubwa na kusababisha vurugu kwenye eneo lenye utajiri wa mafuta nchini naijeria wameanza kuingia ghana kwa makundi.
a respected legal practitioner and lecturer at the university of ghana, law faculty, dr. raymond atuguba has chillingly revealed that militants in the niger delta region, notorious for blowing up oil pipes, kidnapping and demanding huge ransoms and causing unrest in the oil rich nigerian region have started tripping to ghana in droves.