Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
wabudha wa myanmar wajitoe mhanga kwa kiasi gani ili hali wanayokabiliana nayo ifahamike na kuchukuliwa hatua stahiki?
how many lives must the burmese buddhists sacrifice further to put the (situation) on pages and screens?
walipo toa mhanga, ukakubaliwa wa mmoja wao, na wa mwengine haukukubaliwa. akasema: nitakuuwa.
each one of them offered a sacrifice. god accepted the sacrifice of one of them (abel) but not that of the other (cain) who then said to his brother, "i shall certainly kill you."
ghina amekuwa mhanga wa mabomu ambayo yamekuwa yakitupwa na serikali kwenye maeneo ya raia licha ya kulaaniwa na mataifa mbalimbali.
ghina was a victim of the crude barrel bombs that the government has dropped on civilian areas despite international condemnation.
haikuwa mara ya kwanza kwa m-palestina kutumia njia ya kujitoa mhanga kwa kujichoma kama njia ya kuonesha kutoridhishwa na jambo.
it wasn't the first case of a palestinian using self-immolation as a protest.
baadhi ya waandamanaji walishinikiza kunyongwa kwa sajda rishawi, ambaye alikamatwa mara baada ya kushindwa kujitoa mhanga pale bomu alilokuwa amelivaa kushishindwa kulipuka.
some protesters also called for the execution of sajda rishawi, a failed suicide bomber behind bars in jordan.
na wala hawafikiri kwamba nchi za magharibi ndizo zilizomtengeneza sheitwan na kwamba raia wa kimagharibi ndio wanaopaswa kupigwa na kuangamizwa kwa kutumia matendo ya kujitoa mhanga yanayosukwa kwa ustadi na kwa kushtukiza.
nor do they think that the west was created by satan and should be defeated in battle by inflicting maximum civilian casualties through random and creative acts of murderous suicide.
watu watatu wameuawa kwenye shambulio hilo la kujitoa mhanga, na walayat najd, tawi la isis nchini saudi arabia, limedai kuhusika, na watu kumi wamejeruhiwa.
three people were killed in the suicide bombing, which the isis saudi branch walayat najd, has claimed responsibility for, and some 10 people have been injured.
... mara tu nilipowekwa chini ya ulinzi nyumbani kwangu na vyombo vya usalama, niliteswa, nilipigwa na kutishiwa kifo...mimi ni mhanga wa unyanyasaji wa utawala huu wa kiislamu.
... as soon as i was arrested in my apartment by security forces, i was tortured, beaten and threatened to be executed... i am one of the victims of the islamic regime's repression.
lakini hata kama maisha ya mtu mmoja tu yatabadilika katika mchakato huo, hilo litakuwa ni fanikio kwangu kama mtangazaji mhanga wa kipindi cha “na tuzungumze kuhusu ngono.”
but even if one person’s life is changed in the process, that would a phenomenal success for me as a pioneer host on the ltas show.
wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2008, rais alitangazwa kuwa mtu wa amani (“asomdwehene”) na lazima kwa hiyo ajitoe mhanga katika kufanya kazi na maafisa wa umma na wateule wao wanaoakisi tabia na kanuni zake.
during the 2008 general elections, the president was touted as a man of peace ('asomdwehene') and must therefore be committed in working with public officials and appointees who reflect his character and principles.
@johnlyndon1: kujitoa mhanga kwa kujiunguza kwa moto katika mji wa gaza; kujichoma kwa moto kwa fayyad huko hebron; maandamano katika majiji muhimu huko ukanda wa magharibi.
@johnlyndon1: self immolation in gaza; fayyad effigy burning in hebron; protests in major west bank cities.
katika hotuba yake alisema "vyombo vya habari katika bara la amerika ya kusini, ukiacha mifano michache kama ilivyo kawaida, ni vibovu, vibovu sana" na akadai kuwa mhanga wa "kufa kwa vyomvo vya habari".
in his speech he said that "the latin american press, with honorable exceptions like always, is bad, very bad" and he claimed to be a victim of a "media lynching".