Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
kwa hiyo lilikuwa tukio la kushangaza kwamba padre mkatoliki alikamatwa na kisha kufukuziwa mbali na tukio la hivi karibuni la ushughulikiaji wanaoinjilisha.
so it came as a surprise that a catholic priest was also detained and then exported during last week's crackdown.
the moroccan dispatches inatukumbusha tukio moja la hivi karibuni la kule misri ambapo padre mmoja mkatoliki alifukuzwa kutoka katika nchi hiyo:
the moroccan dispatches shares a recent incident in which an egyptian catholic priest was expelled from the country:
msomaji mmoja, jay jay, aliibuasuala la padre mkatoliki aliyefurushwa kutoka nchini zambia, kwa sababu ya kile kilichoelezwa kwamba hakuwa na vibali vyote vinavyohitajika:
one reader, jay jay, raised the issue of a catholic priest who was deported from zambia, apparently because he did not have legitimate papers:
pia zinazotawala katika twita ni picha za maangamizi na uharibifu zilizopigwa na raia kama hizi hapa chini, inadaiwa kuwa zilitumwa kwa mtumiaji wa twita @marvinady na mwanahabari carel padre wa radio one haiti.
also proliferating on twitter are citizen photos of the destruction such as the ones below, reportedly sent to twitter user @marvinady by journalist carel pedre of haiti's radio one.
mnajua nini, sheria ina mambo ya ajabu sana, ya kuja na kukung'ata hasa kwa wanasiasa wanachokatakata kona kama akina kambwili, tukumbuke kwamba mwezi huuhuu yule padre mnyarwanda alifurushwa kwa sababu ya kukosa vibali; kama wanashirika wazambia wenzake na padre huyo kule chipata wangeomba serikali ya pf kwamba kwa nini wasingeachana na jambo hilo na kumruhusu kuendelea kubaki; je, kambwili angewajibu vipi swali hilo?
you know what the law has an annoying habit, of coming back to bite you especially for those politicians who like cutting corners like buffoon kambwili, remember this is the month in which a rwandan priest was deported for not having a permit; if the priest’s zambian members of his congregation in chipata asked the pf gov’t why they didn’t waive that and let him stay; how would kambwili answer that question