Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
al sisi akitangaza mwisho wa uongozi wa morsi. picha imepigwa kutoka katika kituo cha televisheni cha kimataifa cha ccn
al sisi annuncia la fine del governo di morsi.fermo immagine tratto da cnn international.
chombo cha habari cha al jazeera ndicho cha pekee kilichokubalika kama chombo cha kikuu cha habari cha kimataifa kilicho onyesha kiwango cha mgomo wa kutokula.
durante il programma the stream, al jazeera è stata l'unica emittente riconosciuta internazionalmente che abbia evidenziato la gravità dello sciopero della fame.
haitham makkawi alikuwa kwenye eneo la tukio na alidai kwamba wakaazi wa al-daim wamejaza eneo hilo:
haitham makkawi era sul posto e ha affermato che i residenti di al-daim avevano preso il controllo della situazione:
dunia ilishuhudia wakati mahakama ya misri ilipomhukumu aliyekuwa rais wa zamani wa misri hosni mubarak na waziri wake wa mambo ya ndani habib al adly kifungo cha maisha hivi leo kufuatia kukutwa na hatia ya kuhusika na mauaji ya waandamanaji.
il mondo intero ha tenuto gli occhi puntati sulla condanna dell'ex presidente hosni mubarak e del suo ministro degli interni habib al adly all'ergastolo, per il ruolo svolto nell'uccisione dei manifestanti che protestavano contro il governo.
@elijahzarwan: mfanyakazi wa al-jazeera misri ameacha kazi kwa sababu ya "habari za upendeleo": angeacha kazi tarehe 1 june angekuwa ushujaa http://tinyurl.com/mjculx8
@elijahzarwan: la redazione di al-jazeera egypt ha dato le dimissioni per via della "faziosità del servizio informativo". licenziarsi il 1 giugno sarebbe stato coraggioso http://tinyurl.com/mjculx8