Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
paulo na barnaba walibaki huko antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la bwana, pamoja na watu wengine wengi.
paolo invece e barnaba rimasero ad antiochia, insegnando e annunziando, insieme a molti altri, la parola del signore
kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
di qui fecero vela per antiochia là dove erano stati affidati alla grazia del signore per l'impresa che avevano compiuto
lakini baadhi ya waumini waliotoka kupro na kurene, walikwenda antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile habari njema juu ya bwana yesu.
ma alcuni fra loro, cittadini di cipro e di cirène, giunti ad antiochia, cominciarono a parlare anche ai greci, predicando la buona novella del signore gesù
kutokana na mateso yaliyotokea wakati stefano alipouawa, waumini walitawanyika. wengine walikwenda mpaka foinike, kupro na antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa wayahudi tu.
intanto quelli che erano stati dispersi dopo la persecuzione scoppiata al tempo di stefano, erano arrivati fin nella fenicia, a cipro e ad antiochia e non predicavano la parola a nessuno fuorchè ai giudei
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
anche ad icònio essi entrarono nella sinagoga dei giudei e vi parlarono in modo tale che un gran numero di giudei e di greci divennero credenti
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
poiché paolo e barnaba si opponevano risolutamente e discutevano animatamente contro costoro, fu stabilito che paolo e barnaba e alcuni altri di loro andassero a gerusalemme dagli apostoli e dagli anziani per tale questione
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
e consegnarono loro la seguente lettera: «gli apostoli e gli anziani ai fratelli di antiochia, di siria e di cilicia che provengono dai pagani, salute
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
allora gli apostoli, gli anziani e tutta la chiesa decisero di eleggere alcuni di loro e di inviarli ad antiochia insieme a paolo e barnaba: giuda chiamato barsabba e sila, uomini tenuti in grande considerazione tra i fratelli
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
rimasero insieme un anno intero in quella comunità e istruirono molta gente; ad antiochia per la prima volta i discepoli furono chiamati cristiani
jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. wakawachagua stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na roho mtakatifu, filipo, prokoro, nikanora, timona, parmena na nikolao wa antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya kiyahudi.
piacque questa proposta a tutto il gruppo ed elessero stefano, uomo pieno di fede e di spirito santo, filippo, pròcoro, nicànore, timòne, parmenàs e nicola, un proselito di antiochia