Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
kwa maana nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka ufalme wa mungu utakapokuja."
poiché vi dico: da questo momento non berrò più del frutto della vite, finché non venga il regno di dio»
afadhali kuacha kula nyama, kunywa divai, au kufanya chochote ambacho chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke.
perciò è bene non mangiare carne, né bere vino, né altra cosa per la quale il tuo fratello possa scandalizzarsi
wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake."
con lei si sono prostituiti i re della terra e gli abitanti della terra si sono inebriati del vino della sua prostituzione»
wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
allo stesso modo i diaconi siano dignitosi, non doppi nel parlare, non dediti al molto vino né avidi di guadagno disonesto
yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.
andò dunque di nuovo a cana di galilea, dove aveva cambiato l'acqua in vino. vi era un funzionario del re, che aveva un figlio malato a cafarnao
akamwambia, "kila mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!"
e gli disse: «tutti servono da principio il vino buono e, quando sono un po' brilli, quello meno buono; tu invece hai conservato fino ad ora il vino buono»
yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele ya mwanakondoo.
berrà il vino dell'ira di dio che è versato puro nella coppa della sua ira e sarà torturato con fuoco e zolfo al cospetto degli angeli santi e dell'agnello
wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu. kama akifanya hivyo, divai itavipasua hivyo viriba, nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika. divai mpya hutiwa katika viriba vipya!"
e nessuno versa vino nuovo in otri vecchi, altrimenti il vino spaccherà gli otri e si perdono vino e otri, ma vino nuovo in otri nuovi»
hivyo, basi, na tufuatilie mambo yanayofanya kuwe na amani na mambo ambayo ni ya kujengana. acheni kuibomoa kazi ya mungu kwa ajili ya chakula tu. ni kweli, vitu vyote ni safi, lakini ni jambo baya kwa mtu ambaye hula kukiwa na hali ya kukwaza. ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake. imani uliyo nayo, uwe nayo kupatana na wewe mwenyewe machoni pa mungu. mwenye furaha ni mtu asiyejitia mwenyewe hukumuni kwa yale anayokubali. lakini ikiwa ana shaka, yeye akila tayari atakuwa amehukumiwa kuwa mwenye hatia, kwa sababu hali kwa imani. kwa kweli, kila kitu ambacho hakitokani na imani ni dhambi.
così, dunque, perseguiamo le cose che contribuiscono alla pace e le cose che sono reciprocamente edificanti. smettete di abbattere l’opera di dio per amore del cibo. certo, tutte le cose sono pure, ma è dannoso per l’uomo che mangia dando occasione d’inciampo. È bene non mangiare carne né bere vino né fare alcuna cosa nella quale il tuo fratello inciampa. la fede che hai, abbila in armonia con te stesso dinanzi a dio. felice l’uomo che non giudica se stesso mediante ciò che approva. ma se ha dubbi, è già condannato qualora mangi, perché non [mangia] con fede. in realtà, tutto ciò che non è dalla fede è peccato.