Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule yerusalemu, wakawaambia wayazingatie.
keliaudami per miestus, jie liepdavo tikintiesiems laikytis jeruzalės apaštalų bei vyresniųjų priimtų nutarimų.
wakati paulo alipofika, wayahudi waliokuwa wametoka yerusalemu walimzunguka wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.
vos tik pasirodžiusį apstojo jį iš jeruzalės atvykę žydai, primesdami daug sunkių kaltinimų, kurių neįstengė įrodyti.
neno la mungu likazidi kuenea na idadi ya waumini huko yerusalemu ikaongezeka zaidi, na kundi kubwa la makuhani wakaipokea imani.
dievo žodis klestėjo, ir mokinių skaičius jeruzalėje smarkiai augo. ir didelis kunigų būrys pakluso tikėjimui.
"wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto, jinsi nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko yerusalemu.
visi žydai žino apie mano gyvenimą nuo jaunystės, kuris nuo pradžių prabėgo mano tautoje, jeruzalėje.
au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi yerusalemu?
arba anie aštuoniolika, kuriuos užgriuvo bokštas prie siloamo ir užmušė; jūs manote, kad jie buvo kaltesni už visus kitus jeruzalės gyventojus?
"sikilizeni! tunakwenda yerusalemu, na huko mwana wa mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa sheria, nao watamhukumu auawe.
“Štai einame į jeruzalę, ir Žmogaus sūnus bus išduotas aukštiesiems kunigams bei rašto žinovams. jie nuteis jį mirti,
festo alitaka kujipendekeza kwa wayahudi na hivyo akamwuliza paulo, "je, ungependa kwenda yerusalemu na huko ukahukumiwe mbele yangu kuhusu mashtaka haya?"
norėdamas parodyti palankumą žydams, festas paklausė paulių: “ar nori keliauti į jeruzalę ir ten mano akivaizdoje būti teisiamas dėl šių dalykų?”
wakati walipokutana pamoja aliwaamuru hivi: "msiondoke yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi baba, zawadi ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake.
kartą, būdamas kartu su jais, liepė jiems nepasišalinti iš jeruzalės, bet laukti tėvo pažado,“apie kurį,pasakė jis,esate girdėję iš manęs;