プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
akamwambia, "kila mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!"
وقال له. كل انسان انما يضع الخمر الجيدة اولا ومتى سكروا فحينئذ الدون. اما انت فقد ابقيت الخمر الجيدة الى الآن.
maana mataifa yote yalileweshwa kwa divai kali ya uzinzi wake, nao wafalme wa dunia wamefanya uzinzi naye. nao wafanyabiashara wa dunia wametajirika kutokana na anasa zake zisizo na kipimo."
لانه من خمر غضب زناها قد شرب جميع الامم وملوك الارض زنوا معها وتجار الارض استغنوا من وفرة نعيمها
wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu. kama akifanya hivyo, divai itavipasua hivyo viriba, nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika. divai mpya hutiwa katika viriba vipya!"
وليس احد يجعل خمرا جديدة في زقاق عتيقة لئلا تشق الخمر الجديدة الزقاق فالخمر تنصب والزقاق تتلف. بل يجعلون خمرا جديدة في زقاق جديدة