プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
baada ya kura iliyomthibitisha oronoz rodríguez kuwa jaji wa mahakama kuu, baadhi ya maseneta waliomba kuhesabiwa upya kwa kura.
dopo il voto che ha ufficializzato la nomina della oronoz rodríguez come giudice della corte suprema, alcuni senatori hanno richiesto un riconteggio dei voti.
najib razak ni waziri mkuu aliye madarakani anayetuhumiwa na kiongozi wa upinzani anayetumikia kifungo jela anwar ibrahim kutumia mahakama kuwanyamazisha wakosoaji wake.
najib razak è il primo ministro in carica, che è stato accusato anwar ibrahim, leader dell'opposizione in carcere, di usare i tribunali come mezzi per zittire i critici.
b.joe anaona kwamba haki za watoto na vijana chini ya umri wa miaka 18 hazifuatwi na mahakama ya syariah pamoja na wazazi wa msichana huyo.
b.joe è dell'idea che in questo caso né la corte syariah, né i genitori della ragazza abbiano fatto il loro dovere di tutori dei diritti dell'infanzia.
edom (kushoto) akiwa na mahlet akisindikizwa kwenye chumba cha mahakama ndani ya viunga vya mahakama kuu jijini addis ababa.
edom (sinistra) e mahlet sono ascoltate nella sala delle udienze dentro il complesso edificio del tribunale supremo ad addis abeba.
na sehemu inayochekesha katika makubaliano yote haya ni kwamba ndoa hiyo ilipitishwa na mahakama ya syariah – je nini kimezitokea kinga za vijana chini ya umri wa ridhaa?
la parte divertente di tutta questa situazione è che il matrimonio è stato approvato dalla corte syariah - cosa ne è stato della tutela del minore?
chini ya sheria ya syariah ya malaysia, ambayo i8na mamlaka juu ya waislamu, waislamu walio chini ya umri wa miaka 16 wanatakiwa kupata idhini ya mahakama ya syariah kabla ya ndoa kuruhusiwa.
ai sensi della legge syariah della malesia, cui sono soggetti solo i musulmani, affinché sia consentito il matrimonio a musulmani sotto i 16 anni è necessario il consenso della corte syariah.
baba yake mehraveh anasema kupitia ukurasa wake wa facebook kwamba hata kama binti yake, mehraveh, alitenda kosa la jinai, angefikishwa mbele ya mahakama ya watoto wala sio kuswekwa jela la evin.
sulla sua pagina facebook il padre di mehraveh scrive che, anche se sua figlia mehraveh avesse commesso un crimine, il caso avrebbe dovuto essere giudicato da una corte dei minori, non certo a evin
kwa hiyo, nawasilisha kuwa katika masuala ya ndoa kati ya wasichana wa kiislamu walio chini ya umri wa miaka 16, tuziachie mahakama za syariah zifanye kazi yake. wanafahamu ni wakati gani wa kutoa ruksa na wakati gani wa kutotoa ruksa.
pertanto credo che sulla questione dei matrimoni di ragazze musulmane sotto i 16 anni si debba lasciare che le corti della syariah facciano il loro lavoro, perché sono esse a sapere quando concedere o meno le autorizzazioni richieste.