プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
lakini yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo.
and he looked round about to see her that had done this thing.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
and as he went, they spread their clothes in the way.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
akaendelea kusema, "kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia najisi.
and he said, that which cometh out of the man, that defileth the man.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
basi, bwana akaendelea kusema, "sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.
and the lord said, hear what the unjust judge saith.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
naye yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na mungu na watu.
and jesus increased in wisdom and stature, and in favour with god and man.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
yesu akaendelea kusema, "ufalme wa mungu ni kama ifuatavyo. mtu hupanda mbegu shambani.
and he said, so is the kingdom of god, as if a man should cast seed into the ground;
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
waliposikia akiongea nao kwa kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. naye paulo akaendelea kusema,
(and when they heard that he spake in the hebrew tongue to them, they kept the more silence: and he saith,)
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
yesu akaendelea kusema, "basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? ni watu wa namna gani?
and the lord said, whereunto then shall i liken the men of this generation? and to what are they like?
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
halafu akaendelea kusema: "taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
then said he unto them, nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom:
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
yesu akaendelea kuwaambia, "kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa mungu ukija kwa enzi."
and he said unto them, verily i say unto you, that there be some of them that stand here, which shall not taste of death, till they have seen the kingdom of god come with power.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
yesu akaendelea kusema, "ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake?
who then is a faithful and wise servant, whom his lord hath made ruler over his household, to give them meat in due season?
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
akaendelea: "nadhani kwamba dunia yetu imo katika machafuko hivi sasa, vurugu zimechukua nafasi ya maongezi na hasira zimechukua nafasi ya huruma."
she continued: “i feel that our world is in a crisis at the present time, violence has replaced dialogue and anger replaced compassion.”
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
then began he to speak to the people this parable; a certain man planted a vineyard, and let it forth to husbandmen, and went into a far country for a long time.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
akaendelea kusema: "ni lazima mwana wa mtu apate mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa sheria; atauawa, lakini siku ya tatu atafufuliwa."
saying, the son of man must suffer many things, and be rejected of the elders and chief priests and scribes, and be slain, and be raised the third day.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています