プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
Mchangiaji mwingine mwenye jina Tata alipendekeza kuwa, tukio zima limesababishwa na Naibu spika kushindwa kuongoza vyema kikao cha bunge.
Another contributor by the name of Tata suggested that the whole incident pointed to the inability by Deputy Speaker Ndugai to control the session.
Ndugu Mhe Spika, naomba nimshukuru Mhe Chipimo kwa kuwasilisha hotuba yake na kwa kuwa mmoja wa viongozi wanaoelewa nguvu ya vyombo hivi vipya vya habari.
Mr Speaker Sir, let me thank Hon. Chipimo for his submission and for being one the the leaders who understands the power of new media.
Bwana Mbowe alipinga harakati za Naibu Spika za kutaka kumzuia Mbowe asiendelee na msimamo wake wa kutaka kuhamisha mjadala ili kusitisha mjadala wa Rasimu ya mapitio ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013.
Mr Mbowe was protesting the move by the Deputy Speaker to bar him from moving a motion to block continuation of the debate on the Bill for Amendment of the Constitutional Review Act 2013.
Mamia ya wa-Thai hivi karibuni yalitumia salamu hiyo kwenye mazishi ya Naibu spika wa zamani Apiwan Wiriyachai, kwa kumsalimia Yingluck Shinawatra kwa ishara hiyo, alipowasili kutoa heshima zake za mwisho.
Hundreds of Thais recently used the salute at the cremation ceremony for former Deputy House Speaker Apiwan Wiriyachai, greeting Yingluck Shinawatra with the three fingers, when she arrived to pay her respects.
Amenifurahisha huyu Naibu Spika kwa kudai ni aibu ya kiongozi wa Upinzani kuongoza wapinzani kutoka nje wakati kimsingi hii ni aibu yake kwa kushindwa ku-manage kikao...la hii move ya mwisho ya huyu mheshimiwa Sugu imeniacha hoi kwa kicheko.
The Deputy Speaker makes me laugh when he suggests that it is shameful for the leader of the opposition to instruct other opposition members to leave the chamber, when in fact it is a shame for him to be unable to control the session. But this move by Honorable Sugu has left me dead with laughter.
Baada ya kupitishwa, Museveni aliendelea kuwa na msimamo usioeleweka: alidai imekuwaje muswada upitishwe bila yeye kujulishwa, na kwa haraka kiasi kile, tena na idadi ndogo ya wabunge wakiongozwa na spika Kadaga.
After its passing, Museveni continued to pursue an ambiguous position: he claimed how the bill was passed without his consultation, and in a rushed manner, by a small number of MPs led by speaker Kadaga.
Katika picha inayofanana na filamu za Hollywood, watu waliohudhuria zoezi la uchomaji wa mwili wa aliyekuwa naibu spika wa Thailand Apiwan Wiriyachai walionesha ishara ya vidole vitatu kumsalimia Waziri Mkuu wa nchi hiyo Yingluck Shinawatra, katika kile kinachoonekana kuwa ni ujumbe mpya wa matumaini kwa nchi ya Thailand.
In an image resonant of a Hollywood movie, attendees at the cremation of former deputy House speaker Apiwan Wiriyachai held up the three-finger salute to the former Prime Minister of the country Yingluck Shinawatra, in what could be seen as a silent message of hope for Thailand.
Kwa mfano, Aprili 2011, Ezekiel Wenje, mbunge wa kwa tiketi ya chama kikuu cha upinzani, CHADEMA aliamsha hasira ya spika Anna Makinda kufuatia matamshi yake kuwa baadhi ya nyadhifa fulani za serikali zinachaguliwa kupitia “njia za udanganyifu”.
In April 2011, for example, Ezekiel Wenje, a member of parliament (MP) from the leading opposition party Chadema, drew the ire of the Speaker Anna Makinda with his comment that certain government positions are selected via the 'dark market'.
Rais waChama cha upinzani cha NAREP (National Restoration Party) Elias Chipimo Jr. amekuwa mwanasiasa wa kwanza katika nchi hiyo “kulihutubia” bunge la Facebook nchini Zambia linaloaminika kuwa na wanachama 1,318 baada ya kuruhusiwa na “Spika” kutuma ujumbe wake wa mwisho wa mwaka.
Zambia’s opposition National Restoration Party (NAREP) president Elias Chipimo Jr. has become the country’s first politician to “address” the make believe 1,318 member Facebook Zambian parliament after he was allowed by the “Speaker” to post his end of year message.
Mhe Spika, utafiti wa nishati ya bayoanuai hivi sasa umeshika kasi huko kwenye nchi za Magharibi na wakulima (wa huko) wako kwenye harakati za kutumia mbinu hii kupitia mipango inayofadhiliwa na serikali na watu binafsi.
Hon. Speaker Sir, the exploration of bio-fuel is now extensive in the West and farmers busy utilising this initiative through government and privately funded programmes.
Baadhi ya majina yaliyoorodheshwa katika makisio ya watu ni pamoja na mkewe Janet Kataha Museveni, mwanae wa kiumeMuhoozi Kainerugaba, Amama Mbabazi, Waziri Mkuu na rafikiye wa karibu, na Rebecca Kadaga, spika wa sasa wa Bunge.
Some of the names listed in the speculation included his wife Janet Kataha Museveni, his son Muhoozi Kainerugaba, Amama Mbabazi, the current Prime Minister and Museveni's close friend, and Rebecca Kadaga, the current speaker of Parliament.