プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake."
له يشهد جميع الانبياء ان كل من يؤمن به ينال باسمه غفران الخطايا
最終更新: 2012-05-05
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
mkutano huo ulipomalizika, wayahudi wengi na watu wa mataifa mengine waliokuwa wameongokea dini ya kiyahudi waliwafuata paulo na barnaba. hao mitume waliongea nao, wakawatia moyo waendelee kuishi wakitegemea neema ya mungu.
ولما انفضت الجماعة تبع كثيرون من اليهود والدخلاء المتعبدين بولس وبرنابا اللذين كانا يكلمانهم ويقنعانهم ان يثبتوا في نعمة الله.
最終更新: 2012-05-05
使用頻度: 1
品質:
hata hivyo, paulo na barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, "ilikuwa ni lazima neno la mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine.
فجاهر بولس وبرنابا وقالا كان يجب ان تكلّموا انتم اولا بكلمة الله ولكن اذ دفعتموها عنكم وحكمتم انكم غير مستحقين للحياة الابدية هوذا نتوجه الى الامم.
最終更新: 2012-05-05
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています