プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi atakuja, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.
men dette skulle i vide, at dersom husbonden vidste, i hvilken time tyven vilde komme, da vågede han og tillod ikke, at der skete indbrud i hans hus.
lakini kumbukeni jambo hili: kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.
men dette skulle i vide, at dersom husbonden vidste. i hvilken nattevagt tyven vilde komme, da vågede han og tillod ikke, at der skete indbrud i hans hus.
lakini kristo ni mwaminifu kama mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya mungu. sisi ni nyumba yake kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti wetu katika kile tunachotumainia.
men kristus er det som en søn over hans hus; og hans hus ere vi, såfremt vi fastholde håbets frimodighed og ros urokket indtil enden.
naye akawaambia, "hivyo basi, kila mwalimu wa sheria aliye mwanafunzi wa ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale."
men han sagde til dem: "derfor er hver skriftklog, som er oplært for himmeriges rige, ligesom en husbond, der tager nyt og gammelt frem af sit forråd."