プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
yesu aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa uwezo wa kutoa pepo wachafu na kuponya magonjwa na maradhi yote.
et convocatis duodecim discipulis suis dedit illis potestatem spirituum inmundorum ut eicerent eos et curarent omnem languorem et omnem infirmitate
kuta za mji huo zilikuwa zimejengwa juu ya mawe ya msingi kumi na mawili, na juu ya mawe hayo yalikuwa yameandikwa majina na mitume kumi na wawili wa mwanakondoo.
et murus civitatis habens fundamenta duodecim et in ipsis duodecim nomina duodecim apostolorum agn
usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya adria. karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
sed posteaquam quartadecima nox supervenit navigantibus nobis in hadria circa mediam noctem suspicabantur nautae apparere sibi aliquam regione
pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.
et decem cornua quae vidisti et bestiam hii odient fornicariam et desolatam facient illam et nudam et carnes eius manducabunt et ipsam igni concremabun