プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
rais michael sata akisemekana kuhutubia kikao cha baraza la mawaziri mara aliporudi kutoka israel alikokuwa amelazwa hospitali.
president michael sata reportedly addressing a cabinet meeting upon his return from israel where he was admitted to a hospital.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
tovuti ya zambian watchdog ilitoboa siri hiyo, ikiripoti kuwa rais alikuwa amewasili nchini israel na alikuwa amelazwa hospitali.
the website zambian watchdog exposed the trip, reporting that the president had arrived in israel and was admitted to a hospital.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
mwanahabari mwingine kondwani munthali alizipinga ripoti kuwa mutharika alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya milpark huko afrika kusini:
another journalist kondwani munthali refuted reports that mutharika was admitted at milpark hospital in south africa:
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini."
and this shall be a sign unto you; ye shall find the babe wrapped in swaddling clothes, lying in a manger.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
wakati mwanawasa akiwa amelazwa hospitali, makamu wake lupando mwape, aliwaambia waandishi wa habari kwamba rais walikuwa anafanya mazoezi ya viungo jijini london.
while mwanawasa was in a hospital bed, his vice president, lupando mwape, famously told the media that the president was jogging in london.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
mwaka huo huo, virusi vya hcov-hku1 vilitolewa kutoka kwa mwanaume wa miaka 71-ambaye alikuwa amelazwa hospitalini akiwa ameugua ugonjwa wa nimonia na kuziba kwa njia za hewa kwenye mapafu kule hong kong.
in the same year, hcov-hku1 was isolated from a 71-year-old man who had been hospitalized with pneumonia and bronchiolitis in hong kong.
最終更新: 2020-08-25
使用頻度: 1
品質:
hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "jipe moyo mwanangu! umesamehewa dhambi zako."
and, behold, they brought to him a man sick of the palsy, lying on a bed: and jesus seeing their faith said unto the sick of the palsy; son, be of good cheer; thy sins be forgiven thee.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています