プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
katika tamko rasmi la serikali, rais ambaye ndiye mwenye mamlaka ya mwisho na aliye amiri jeshi mkuu wa jeshi la guatemala alitanabaisha kuwa ameshatoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi kuhusiana na uonevu na mauaji toka octoba 4.
in an official statement, the president -who is the maximum authority and commander in chief of the guatemalan army- indicated that he has ordered an investigation into the violence and deaths from october 4.
kisha, jeshi la misri lilitwaa madaraka, chini ya uongozi wa amiri jeshi mkuu wa vikosi vya ulinzi nchini misri na waziri wa ulinzi, jenerali abdul fattah el sisi, ambaye baadae alichaguliwa kuwa rais mpya wa misri.
then, the egyptian army took command, under the leadership of commander-in-chief of the egyptian armed forces and minister of defence general abdul fattah el sisi, who was later on elected as the new president of egypt.