プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
hekalu za shia qom zilibaki wazi kwa wasafiri hadi 16 machi 2020.irani ilikuwa kituo cha kuenea kwa virusi baada ya uchina mnamo februari.
shia shrines in qom remained open to pilgrims until 16 march 2020.iran became a centre of the spread of the virus after china during february.
ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi cha mungu. humtumikia mungu mchana na usiku katika hekalu lake; naye aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda.
therefore are they before the throne of god, and serve him day and night in his temple: and he that sitteth on the throne shall dwell among them.
kule srinagam, nimewahi kuwaona wakikojoa kwenye ukutra wa boma la hekalu pamoja na kuwa kila mtaa unaolizunguka hekalu una vyoo, ambavyo vilikuwa visafi, lakini vya kulipia!”
in srirangam, i saw them urinating on the compound wall of the temple even though every street surrounding the temple had toilets, which were clean, but pay toilets!"
maana, mtu ambaye dhamiri yake ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo ndani ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu?
for if any man see thee which hast knowledge sit at meat in the idol's temple, shall not the conscience of him which is weak be emboldened to eat those things which are offered to idols;
"wewe! si ulijidai kulivunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu? sasa jiokoe mwenyewe. kama wewe ni mwana wa mungu, basi shuka msalabani!"
and saying, thou that destroyest the temple, and buildest it in three days, save thyself. if thou be the son of god, come down from the cross.
"ole wenu viongozi vipofu! ninyi mwasema ati mtu akiapa kwa hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini akiapa kwa dhahabu ya hekalu, kiapo hicho kinamshika.
woe unto you, ye blind guides, which say, whosoever shall swear by the temple, it is nothing; but whosoever shall swear by the gold of the temple, he is a debtor!