プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
baada ya kufahamu kuhusu ripoti hii, seneta chiz escudero alikosoa maafisa wa serikali kwa kushindwa kuelewa uzito wa hali:
after learning about this report, senator chiz escudero berated local officials for failing to understand the gravity of the situation:
baadhi ya maafisa wa marekani na watoa maoni walisuta hatua ya marekani ya kutegemea ununuzi wa bidhaa muhimu, ikiwa ni pamoja na bidhaa muhimu za kimatibabu kutoka china.
some u.s. officials and commentators criticized the u.s. reliance on importation of critical materials, including essential medical supplies, from china.
juma lililopita, kwa kuongezeka kwa uwezekano wa vita ya marekani na israel dhidi ya iran, maafisa wawili wa juu wa hamas walitangaza kwamba hamasi haitajihusisha na itaiunga mkono iran ikitokea israel itashambulia.
last week, in light of increasing prospects of an american-israeli war on iran, two top hamas officials announced that hamas would not get involved and support iran in case of an israeli attack.
mbali na kukuza uelewa wa jamii, muungano huo utawsilisha saini zilizokusanywa kutokana na tamko la mtandaoni kwa serikali ya hong kong na umeandaa mkutano na idara ya kilimo, uvuvi na hifadhi kujadili tamko lao la kuteketezwa kwa shehena ya pembe za ndovu zilzokamatwa.
apart from raising public awareness, the coalition will submit the signatures collected from the online petition to the hong kong government and hasarranged a meeting with the agriculture, fisheries and conservation department to discuss their petition to destroy the stockpiles of confiscated ivory.
baada ya kuongea na maafisa wote 34 wa polisi walioshiriki kwenye zoezi hilo la kipolisi, hatuwezi kuthibitisha kwamba wote waliotajwa kwenye malalamiko walihusika kwenye tukio hilo, au walinyang'anywa na kufutiwa picha na video zao.
after speaking with all 34 officers who participated in the police activity, we can’t determinate that anyone was involved in the event as it is specified in the petition, or confiscated and deleted recorded photo and video material.
kwa mujibu wa picha iliyochapishwa na josé meza (@josegremeza), jijini maracaibo wanafunzi walikuwa wakidai mazungumzo na maafisa wa polisi waliowasili katika viwanja hivyo kwa mijanajili ya kuandamana:
according to an image published by josé meza (@josegremeza), in maracaibo students were demanding a dialogue with police officers who arrived at the square where they were protesting: