プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
kwenye blogu ya engenerada kuna tafakari ya kina juu ya ujenzi wa utambulisho wa jinsia na masimulizi yanazyohusishwa na wanawake na wanaume.
on engenerada they reflect on the construction of gender identities and the myhts usually associated to women and men.
je, kutembea uchi yanaweza kuwa mbinu bora ya kufufua sekta ya utalii nchini kenya kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa al shabaab?:
is going topless an effective strategy for reviving the kenyan tourism industry following attacks from militant group al shabaab?:
alieleza kuhusu uhusiano wake na jumuiya ya sauti za dunia na jinsi teknolojia ya kenya inavyozidi kuwa ya ubunifu, hasa katika sekta ya vifaa vya mkononi kama simu.
he explained his connection with global voices and how kenyan technology continues to innovate, particularly in the area of mobile.
hata sijui nini cha kusema lakini kile ninachoweza kusema sasa ni kwamba ninajisikia kukerwa na kwa kweli sijui cha kufanya na kile ambacho sote kama taifa tunaweza kufanya ili angalau sekta ya madini itufaidishe na sisi siku moja
i really do not even know what to say but all i can say is that i feel so disgusted and i really do not know what we can do and what we shall do to make the dice fall in our favor as zambians one day
mchoro wenye taarifa umekuwa ukisambaa katika majukwaa ya vyombo vya habari vya kiraia kuonyesha kwamba bolivia ni kati ya maeneo ya mwisho kabisa katika sekta ya ubora wa kasi ya mtandao barani amerika ya kusini.
an infographic that has been circulating on social media platforms shows that bolivia is among the last places in connectivity and bandwidth in latin america.
mwezi mei, benki ya dunia iitaka serikali ya zambiakutokuingilia upangaji wa bei ya unga wa mahindi unaouzwa na wakulima kwa shirika la hifadhi ya chakula la nchi hiyo na wadau wengine katika sekta ya uchumi wa kilimo.
in may, the world bank urged the zambian government not to interfere in determining the floor prices of maize sold by farmers to the food reserve agency and other interested parties in the agri-business chain.
kadiresan pia alionyesha kwamba benki ya dunia inaguswa na ukweli kwamba si tu kuwa sera ya kilimo ya serikali inashindwa kuhakikisha uendelevu wa ukuaji wa sekta ya uchumi, lakini pia serikali haichukui hatua za kutosha kutengeneza ajira pamoja na kupunguza umasikini
kadiresan also indicated that the world bank is deeply concerned that not only does the government’s policy fail to ensure the long term sustainable growth of the agriculture sector, it also does very little to create jobs and reduce poverty.
jengo la ghorofa tisa lililokuwa na idadi kubwa ya watu wanaotengeneza nguo liliporomoka huko savar, nje kidogo ya mji mkuu dhaka na kuua watu 142 na kujeruhi takribani watu elfu moja, hali iliyopelekea kuibua umakini wa hali ya usalama kwa sekta ya viwanda nchini bangladesh.
a nine-story building with mostly garment manufacturers collapsed in savar, in the outskirts of capital city dhaka, killing 142 people and injuring close to a thousand, resurrecting concerns of safety conditions in bangladesh's manufacturing industry.
alisema hatua hiyo inakusudiwa kulinda sekta ya mawasiliano nchini humo, akiongeza kuwa utafiti umeonyesha kuwa "watu laki moja nchini bahrain wametumia zana hizo za mawasiliano ya sauti katika kipindi cha siku nne."
he said the move was to protect the country's communication sector, adding that a study showed that "100,000 people in bahrain had used voip applications in four days."
hukumu hii inaweka msisitizo wa sheria ya makosa ya jinai (au, ningeongeza, sheria ya maadili ya baraza la watumishi wa sekta ya afya afrika kusini kwamba haiwezekani kutekeleza jambo lolote lililo kinyume na misimamo ya kidini au kimaadili kwa mtu yeyote.
the judgment thus confirms that the criminal law (or, i would add, the ethical rules of the hpcsa ) cannot be used to enforce the moral, religious or ethical beliefs of some on everyone.