プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
na kwamba wakati shahidi wako stefano alipouawa, mimi binafsi nilikuwako pale nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua.
and when the blood of thy martyr stephen was shed, i also was standing by, and consenting unto his death, and kept the raiment of them that slew him.
lakini stefano akiwa amejawa na roho mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa mungu na yesu amekaa upande wa kulia wa mungu.
but he, being full of the holy ghost, looked up stedfastly into heaven, and saw the glory of god, and jesus standing on the right hand of god,
kutokana na mateso yaliyotokea wakati stefano alipouawa, waumini walitawanyika. wengine walikwenda mpaka foinike, kupro na antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa wayahudi tu.
now they which were scattered abroad upon the persecution that arose about stephen travelled as far as phenice, and cyprus, and antioch, preaching the word to none but unto the jews only.
naye stefano akasema, "ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! mungu alimtokea baba yetu abrahamu alipokuwa kule mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule harani.
and he said, men, brethren, and fathers, hearken; the god of glory appeared unto our father abraham, when he was in mesopotamia, before he dwelt in charran,
saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua stefano kuwa sawa. siku hiyo kanisa la yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za yudea na samaria.
and saul was consenting unto his death. and at that time there was a great persecution against the church which was at jerusalem; and they were all scattered abroad throughout the regions of judaea and samaria, except the apostles.
jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. wakawachagua stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na roho mtakatifu, filipo, prokoro, nikanora, timona, parmena na nikolao wa antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya kiyahudi.
and the saying pleased the whole multitude: and they chose stephen, a man full of faith and of the holy ghost, and philip, and prochorus, and nicanor, and timon, and parmenas, and nicolas a proselyte of antioch: