プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
et adprehensum eum eiecerunt extra vineam et occiderun
basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et illis dixit ite et vos in vineam et quod iustum fuerit dabo vobi
akawaambia, nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
conventione autem facta cum operariis ex denario diurno misit eos in vineam sua
akapatana nao kuwalipa dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
veniet et perdet colonos istos et dabit vineam aliis quo audito dixerunt illi absi
atakuja kuwaangamiza wakulima hao, na atawapa wakulima wengine hilo shamba la mizabibu." watu waliposikia maneno hayo, walisema: "hasha! yasitukie hata kidogo!"
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
aiunt illi malos male perdet et vineam locabit aliis agricolis qui reddant ei fructum temporibus sui
wao wakamjibu, "atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile shamba atawapa wakulima wengine ambao watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno."
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
et misit angelus falcem suam in terram et vindemiavit vineam terrae et misit in lacum irae dei magnu
basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya mungu.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
coepit autem dicere ad plebem parabolam hanc homo plantavit vineam et locavit eam colonis et ipse peregre fuit multis temporibu
yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
quis militat suis stipendiis umquam quis plantat vineam et fructum eius non edit quis pascit gregem et de lacte gregis non manduca
je, mwanajeshi gani anayelipia utumishi wake jeshini? mkulima gani asiyekula matunda ya shamba lake la mizabibu? mchungaji gani asiyekunywa maziwa ya mifugo yake?
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et coepit illis in parabolis loqui vineam pastinavit homo et circumdedit sepem et fodit lacum et aedificavit turrem et locavit eam agricolis et peregre profectus es
yesu alianza kusema nao kwa mifano: "mtu mmoja alilima shamba la mizabibu. akalizungushia ukuta, na katikati yake akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga mnara pia. akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, akasafiri hadi nchi ya mbali.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
aliam parabolam audite homo erat pater familias qui plantavit vineam et sepem circumdedit ei et fodit in ea torcular et aedificavit turrem et locavit eam agricolis et peregre profectus es
yesu akasema, "sikilizeni mfano mwingine. mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda nchi ya mbali.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています