プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
i have sat in the company of bank mds who stole billions of money, ruling party leaders who manipulate the electoral process and steal billions on naira, pastors of un taxed mega churches where all the above pay staggering sums in tithes and contribution and listened in disbelief as they all moan about bad leadership and the nigerian situation.
nimekaa kati ya wakurugenzi waendeshaji wa benki waliokwapua mabilioni ya fedha, viongozi wa chama tawala wanaoharibu michakacho ya uchaguzi na kuiba maibilioni ya naira, wachungaji wa makanisa mkubwa yasiyotozwa kodi ambako wote hapo juu wanalipa kiasi kikubwa sana cha mafungu ya sadaka na michango na kusikiliza bila kuamini namna wote hao wanavyolalamika kuhusu uongozi mbaya na hali ya naijeria.