전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
sehemu ya nchi hiyo ilisherehekea mwendelezo wa mapinduzi ya bolivia" chini ya chávez, wakati upande mwingine ukilalamikia kupoteza uchaguzi kwa mara nyingine.
part of the country celebrated the continuation of the 'bolivarian revolution' under chávez, while the other side lamented another electoral loss.
jiji hilo ni makazi ya wahamiaji kutoka jamii za wenyeji wa aymara katika altiplano ya bolivia, ambao huhamia katika jiji la el alto, mara nyingi wakiwa katika hali ya umaskini uliokithiri.
the city is home to migrants from the aymara indigenous communities on the bolivian altiplano, who settle in el alto, often in impoverished conditions.
mchoro huo unaonyesha pia kwamba nchini bolivia, megabaiti moja kwa sekunde inagharimu kati ya mara 6 na 11 zaidi ya inavyokuwa katika nchi nyingine za jirani kama paraguay, nchi ambayo ina eneo dogo sana la ardhi.
it also shows that in bolivia, one mbps costs between 6 and 11 times more than in neighbouring countries including paraguay, also a land-locked country.
tovuti “inatafuta usawa katika upatikanaji wa mtandao wa intanenti kwa wa-bolivia usiote kupata mtandao wa kasi kubwa ila dai kasi ya kiwango cha kawaida kinachokubaliwa”.
the website "seeks equality in internet access for bolivians do not dream of super speeds but do demand the minimum acceptable speed".
kama ilivyokuwa imeripotiwa na (tovuti ya) global voices , mkutano wa kwanza wa kitaifa wa kukuza uunganishwaji wa intanenti nchini bolivia national meeting to promote connectivity in bolivia ulifanyika mwishoni mwa januari 2012.
as previously reported on global voices, the first national meeting to promote connectivity in bolivia took place in late january 2012.
injia wa umeme sergio toro, ambaye ni mtaalamu wa ki-bolivia kwenye masuala ya teknohama ya maendeleo, alitoa maoni katika posti iliyowekwa kwenye blogu ya post by tic para el desarrollo's blog:
electric engineer sergio toro, a bolivian expert on ict for development, comments on a post by tic para el desarrollo's blog: