인적 번역의 예문에서 번역 방법 학습 시도.
전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
inajulikana kama "door waar," na ina umuhimu wa kimsingi katika maisha ya vijana wasenegal.
he was glad because he made some good profits with this new work, i had a better understanding of the informal sector here, commonly known as "door waar " which plays a fundamental role in the lives of senegalese youth .
kipindi cha pili cha serikali ya alberto fujimori; sera ya taifa ya afya ya uzazi na uzazi wa mpango ilitekelezwa sera hiyo ilikusudia kupunga kasi ya uzazi.
second period of the government of alberto fujimori; it was implemented the national program on reproductive health and family planning policy aimed at reducing the overall fertility rates.
elimu hiyo imefanyiwa majaribio katika shule teule nchini kote na itakuwa na mada kama afya ya uzazi, kujikinga na vvu/ukimwi na uzazi wa mpango.
the sex education program is being piloted in selected schools around the country and will include topics such as reproductive health, hiv/aids prevention, and family planning.
hivi vyote vina uwezo wa kubadili akili inayokua ya vijana, na kuwafikisha kwenye kuchanganyikiwa juu ya lipi ni sahihi na lipi si sahihi.
all of these have the capacity to change the moral perception of the youth’s developing minds, bringing them to confusion on what is right or wrong.
baadhi yao wanaweza kuwa hawana elimu hivyo kushindwa kuelewa muundo na mfumo wa uzazi, na hivyo kushindwa kuelewa juu ya njia asilia za uzazi wa mpango.”
some might be uneducated to understand the anatomy of reproduction and thus fail to grasp natural birth control methods."
basi hawakumuamini musa isipo kuwa baadhi ya vijana vya kaumu yake, kwa kumwogopa firauni na wakuu wao wasiwatese.
but no one believed moses, except [some] youths among his people, for fear of pharaoh and his establishment that they would persecute them.
akipenda atakuondoeni na awaweke wengine awapendao badala yenu, kama vile alivyo kutoeni kutokana na uzazi wa watu wengine.
had he wanted, he could have destroyed you and replaced you by other people, just as he had created you from the offspring of others.
kituo cha doha cha uhuru wa habari kinaungana na utafutaji wa habari unaofanywa na jamii ya vijana wa bahrain inayotetea haki za binadamu inayotoa wito wa kuachiliwa huru kwa humaidan.
the doha centre for media freedom is joining the quest for information with the bahrain youth society for human rights which calls for the immediate release of humaidan.
kuna kundi la raia wa cape verde ambalo huandaa mikutano mjini lisbon ili kujadili uhusiano kati ya vijana na siasa, kama anavyoeleza suzano costa katika video kama ilivyowekwa tena na amilcar tavares.
there is a group of cape verdean citizens who occasionally organize meetings in lisbon to discuss the relations between youth and politics, as suzano costa explains in a video republished by amilcar tavares.
anaelezea jinsi gani, kama daktari wa mpango wa ulinzi wa afya ya mama na mtoto huko, alivyokuwa akitegemea ushirikiano rasmi na mfumo wa afya wa suriname na kutizamwa mazingira ya lugha mbalimbali ya jamii :
he explains how, as the physician of mother and child health protection programme there, he had to rely on the informal colloboration with the suriname health system and navigate the multilingual setting of the community :
basi hawakumuamini musa isipo kuwa baadhi ya vijana vya kaumu yake, kwa kumwogopa firauni na wakuu wao wasiwatese. kwani hakika firauni alikuwa jeuri katika nchi.
but none believed in moses except some children of his people, because of the fear of pharaoh and his chiefs, lest they should persecute them; and certainly pharaoh was mighty on the earth and one who transgressed all bounds.
baada ya kurasimisha sheria ya kupinga picha za ngono miaka miwili iliyopita, indonesia sasa inataka kuanzisha orodha ya visivyotakiwa mtandaoni kama namna ya kuitikia haja ya makundi ya kihafidhina ya kulinda maadili ya vijana.
after enacting an anti-pornography law two years ago, indonesia now wants to enforce an internet blacklist in response to the demand of conservative voices to protect the morals of the young.
@olayadotel: hawa watu wala rushwa wanaotamba wapendavyo serikalini hawana haki yoyote kumwaga tone la damu ya vijana wetu ... si moja zaidi!!!
@olayadotel: these corrupt individuals in control of the state are not worth a drop of the blood of our young people...not one more!!!