전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
kas grēko, tas ir no velna, jo velns grēko no sākuma. tamdēļ dieva dēls atnāca, lai viņš sagrautu velna darbus.
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
dieva bērnus un sātana bērnus var pazīt tā: ikkatrs, kas nav taisnīgs, nav no dieva, tāpat arī tas, kas nemīl savu brāli.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
kā dievs ar svēto garu un spēku svaidīja nācarieti jēzu, kas staigāja, labu darīdams un dziedinādams visus velna nomāktos, jo dievs bija ar viņu.
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
un nogāza to lielo pūķi, veco čūsku, kas saucas velns un sātans, kas pieviļ visu pasauli, un nogāza to zemē, bet viņa eņģeļus aizsūtīja kopā ar viņu.
basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo,
tā kā bērniem kopīgi ir miesa un asinis, tad arī viņš tāpat to pieņēmis, lai caur nāvi iznīcinātu to, kam vara pār nāvi, tas ir, velnu,