Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
kisha ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. huyo shetani akamwambia,
tad velns uzveda viņu augstā kalnā un vienā acumirklī rādīja viņam visas pasaules valstis,
anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa ibilisi.
viņam jābūt labā slavā pie tiem, kas ir ārpusē, lai neiekristu neslavā un ļaunā gara slazdos.
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
kas grēko, tas ir no velna, jo velns grēko no sākuma. tamdēļ dieva dēls atnāca, lai viņš sagrautu velna darbus.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
un, vakariņas ēdot, kad velns jūdasam, sīmaņa iskariota dēlam, sirdī jau bija iedvesmojis viņu nodot,
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
dieva bērnus un sātana bērnus var pazīt tā: ikkatrs, kas nav taisnīgs, nav no dieva, tāpat arī tas, kas nemīl savu brāli.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
kā dievs ar svēto garu un spēku svaidīja nācarieti jēzu, kas staigāja, labu darīdams un dziedinādams visus velna nomāktos, jo dievs bija ar viņu.
ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
un viltus pravietis dienām un naktīm tiks mocīti mūžīgi mūžos.
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
un nogāza to lielo pūķi, veco čūsku, kas saucas velns un sātans, kas pieviļ visu pasauli, un nogāza to zemē, bet viņa eņģeļus aizsūtīja kopā ar viņu.
basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo,
tā kā bērniem kopīgi ir miesa un asinis, tad arī viņš tāpat to pieņēmis, lai caur nāvi iznīcinātu to, kam vara pār nāvi, tas ir, velnu,