전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,
كما تكلم بفم انبيائه القديسين الذين هم منذ الدهر.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.
ويقوم انبياء كذبة كثيرون ويضلون كثيرين.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
فانظروا لئلا يأتي عليكم ما قيل في الانبياء
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
لان جميع الانبياء والناموس الى يوحنا تنبأوا.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja antiokia kutoka yerusalemu.
وفي تلك الايام انحدر انبياء من اورشليم الى انطاكية.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
sheria yote ya mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili."
بهاتين الوصيتين يتعلق الناموس كله والانبياء
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
경고: 보이지 않는 HTML 형식이 포함되어 있습니다
ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.
ويل لكم لانكم تبنون قبور الانبياء وآباؤكم قتلوهم.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
ثم ابتدأ من موسى ومن جميع الانبياء يفسر لهما الأمور المختصة به في جميع الكتب
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
وهذا توافقه اقوال الانبياء كما هو مكتوب.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
hapo zamani, mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii,
الله بعد ما كلم الآباء بالانبياء قديما بانواع وطرق كثيرة
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
mwasema: kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!
وتقولون لو كنا في ايام آبائنا لما شاركناهم في دم الانبياء.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
ole wenu ninyi iwapo watu wote wanawasifu, maana wazee wao waliwafanyia manabii wa uongo vivyo hivyo.
ويل لكم اذا قال فيكم جميع الناس حسنا. لانه هكذا كان آباؤهم يفعلون بالانبياء الكذبة
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
الخلاص الذي فتش وبحث عنه انبياء. الذين تنبأوا عن النعمة التي لاجلكم
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
اذا تشهدون وترضون باعمال آبائكم. لانهم هم قتلوهم وانتم تبنون قبورهم.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani.
الذي ينبغي ان السماء تقبله الى ازمنة رد كل شيء التي تكلم عنها الله بفم جميع انبيائه القديسين منذ الدهر.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
maana watatokea kina kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa mungu, kama ikiwezekana.
لانه سيقوم مسحاء كذبة وانبياء كذبة ويعطون آيات وعجائب لكي يضلوا لو امكن المختارين ايضا.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
akahamia katika mji uitwao nazareti. ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "ataitwa mnazare."
وأتى وسكن في مدينة يقال لها ناصرة. لكي يتم ما قيل بالانبياء انه سيدعى ناصريا
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
경고: 보이지 않는 HTML 형식이 포함되어 있습니다
ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza habari njema, wengine wachungaji na walimu.
وهو اعطى البعض ان يكونوا رسلا والبعض انبياء والبعض مبشرين والبعض رعاة ومعلّمين
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, "sikilizeni! tunakwenda yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu mwana wa mtu kitakamilishwa.
واخذ الاثني عشر وقال لهم ها نحن صاعدون الى اورشليم وسيتم كل ما هو مكتوب بالانبياء عن ابن الانسان.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질:
경고: 보이지 않는 HTML 형식이 포함되어 있습니다
ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona abrahamu, isaka na yakobo, na manabii wote wapo katika ufalme wa mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!
هناك يكون البكاء وصرير الاسنان متى رأيتم ابراهيم واسحق ويعقوب وجميع الانبياء في ملكوت الله وانتم مطروحون خارجا.
마지막 업데이트: 2012-05-05
사용 빈도: 1
품질: