전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
one of the best female writers in yemen, samia al-agbhari is facing a media propaganda attack and threatened for her brave stance.
akiwa mmoja wapo wa waandishi bora kabisa nchini yemeni, samia al-agbhari anashambuliwa mno na propaganda za vyombo vya habari na kumtishia kufuatia msimamo wake wa kishujaa.
yemen is in political limbo, without a president and government, since the houthi militias took over government institutions and the presidential palace in capital city sanaa.
yemen iko kwenye mzozo wa kisiasa, bila kuwa na rais wala serikali, tangu waasi wa houthi kuangusha taasisi za kiserikali na kuteka ikulu kwenye mji mkuu wa sanaa.
we have tested them in the same way as we tested the dwellers of the garden (in yemen) when they swore to pluck all the fruits of the garden in the morning,
hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
yemeni blogger afrah nasser (@afrahnasser), who is based in sweden, challenged yemen to speak out against the execution of its citizens:
mwanablogu wa yemeni afrah nasser (@afrahnasser), ambaye anaishi sweden, aliitaka yemen ilaani unyongaji wa kikatili uliofanywa kwa raia wake:
@abubakrabdullah: amazing - marzouki's speech at the tunisian parliament today - i hope to see something similar in yemen one day..
@abubakrabdullah: inafurarahisha – hotuba ya marzouki bungeni tunisia leo – natumai kuona siku moja kitu kama hicho kikitokea yemen..
5 #yemen men executed yesterday. #ksa https://www.facebook.com/haykal.bafana/posts/469019226511426 … pic.twitter.com/0ncwdxybhc
wanaume watano wa ki-yemeni wamenyongwa jana. #ksa https://www.facebook.com/haykal.bafana/posts/469019226511426 … pic.twitter.com/0ncwdxybhc