Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
most other imagery is not interactive, but arguably gives a broader overview of the situation.
taswira nyingine nyingi siyo shirikishi, lakini pengine zinatoa mtazamo mpana kuhusu hali ilivyo.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
why do we insist on romanticizing ancient languages that arguably noone wants to speak anymore?
kwa nini tunaendelea kuzikumbatia lugha za kale ambazo hakuna anyetaka kuziongea tena?
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
i’ve been to the sprawling campus that serves as headquarters to africa’s arguably flagship airline many times.
nimewahi kuwepo kwenye maeneo yanayofanya kazi kama makao makuu ya shirika la ndege linaloongoza afrika mara kadhaa.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
martin luther king, jr. was born on january 15, 1929 and became arguably the american civil rights movement's most prominent advocate and speaker.
martin luther king jr. alizaliwa tarehe 15 januari, 1929 na akawa mmoja wa wasemaji na watetezi wakuu wa harakati za haki za kiraia huko marekani.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
with a population of over 20m lagos is the largest black city in the world and is arguably the epicenter of the continent and home to the powerhouses of africa’s creative, business and tech communities.
likiwa na idadi ya watu wapatao milioni 20, lagos ndilo jiji kubwa la watu weusi duniani na inasemekana ni kitovu cha bara la afrika na makazi ya makampuni makubwa ya kibiashara na kiteknolojia katika bara la afrika.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
they should adopt a skeptical disposition and thoroughly question prospective candidates ... civil society, the church, political parties and all of us must press for a drastic reduction in the powers of the executive, arguably the greatest single problem.
lazima wajenge hali ya kutokuwaamini kirahisi wanasiasa na wawaulize maswali mazito wanapogombea nafasi za uongozi….vyama vya kiraia, makanisa, vyama vya kisiasa na sisi sote lazima tushinikize kupunguzwa kwa madaraka ya watalawa, ambalo kwa hakika ndilo tatizo kubwa linalotukabili.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
dar es salaam, tanzania's commercial capital, is getting back to normal after two days in which the city found itself playing host to arguably the most powerful man on earth: president barack obama of the united states.
dar es salaam, ambao ni mji mkuu wa kibiashara wa tanzania, unarejea katika hali yake ya kawaida baada ya siku mbili za kuwa mwenyeji wa mtu anayeaminika kuwa mwenye mvuto mkubwa duniani, rais wa marekani, barack obama.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: