Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?
وان لم تكونوا امناء في ما هو للغير فمن يعطيكم ما هو لكم.
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe."
ان كنا غير امناء فهو يبقى امينا لن يقدر ان ينكر نفسه
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?
فان لم تكونوا امناء في مال الظلم فمن يأتمنكم على الحق.
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa mungu?
فماذا ان كان قوم لم يكونوا امناء. أفلعل عدم امانتهم يبطل امانة الله.
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
tunawaandikia ninyi watu wa mungu huko kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na kristo. tunawatakieni neema na amani kutoka kwa mungu baba yetu.
الى القديسين في كولوسي والاخوة المؤمنين في المسيح نعمة لكم وسلام من الله ابينا والرب يسوع المسيح
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mimi paulo, mtume wa kristo yesu kwa mapenzi ya mungu, nawaandikia ninyi watu wa mungu huko efeso, mlio waaminifu katika kuungana na kristo yesu.
بولس رسول يسوع المسيح بمشيئة الله الى القديسين الذين في افسس والمؤمنون في المسيح يسوع
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono kutoka nchi ya misri. hawakuwa waaminifu kwa agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema bwana.
لا كالعهد الذي عملته مع آبائهم يوم امسكت بيدهم لاخرجهم من ارض مصر لانهم لم يثبتوا في عهدي وانا اهملتهم يقول الرب.
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
watapigana na mwanakondoo, lakini mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni bwana wa mabwana na mfalme wa wafalme."
هؤلاء سيحاربون الخروف والخروف يغلبهم لانه رب الارباب وملك الملوك والذين معه مدعوون ومختارون ومؤمنون.
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
usiogope hata kidogo yale ambayo itakulazimu kuteseka. sikiliza! ibilisi anataka kuwajaribu kwa kuwatia baadhi yenu gerezani; nanyi mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. muwe waaminifu hata mpaka kufa, nami nitawapeni taji ya uzima.
لا تخف البتة مما انت عتيد ان تتألم به. هوذا ابليس مزمع ان يلقي بعضا منكم في السجن لكي تجربوا ويكون لكم ضيق عشرة ايام. كن امينا الى الموت فسأعطيك اكليل الحياة.
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: