Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno jingine,
Затова, понеже приемаме царство, което не се клати, нека бъдем благодарни, и така да служим благоугодно Богу с благоговение и страхопочитание;
malaika wa pili akapiga tarumbeta yake. na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto ukatupwa baharini. theluthi moja ya bahari ikawa damu,
И позволи им се, не да убиват тия, но да ги мъчат пет месеца; и мъката беше като мъка от скорпия, когато ожили човека.
kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya mungu.
И държеше в ръката си разгъната книжка; и като положи дясната си нога на морето, а лявата на земята,
naye atawatuma malaika wake wenye tarumbeta la kuvuma sana, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, toka mwisho huu wa mbingu hadi mwisho huu.
Ще изпрати Своите ангели със силен тръбен глас; и те ще съберат избраните Му от четирите ветрища, от единия край на небето до другия.
kisha malaika wa tatu akapiga tarumbeta yake. na nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto, ikaanguka kutoka mbinguni, na kutua juu ya theluthi moja ya mito na chemchemi za maji.
И скакалците приличат на коне, приготвени за война; и на главите им имаше като корони подобни на злато, и лицата им бяха като човешки лица.
kisha malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, "sasa utawala juu ya ulimwengu ni wa bwana wetu na kristo wake. naye atatawala milele na milele!"
И жената побягна в пустинята, гдето имаше място, приготвено от Бога, за да я хранят там хиляда двесте и шестедесет дни.
kisha nikatazama, nikasikia tai akiruka juu kabisa angani anasema kwa sauti kubwa, "ole, ole, ole kwa wanaoishi duniani wakati malaika watatu waliobaki watakapopiga tarumbeta zao!"
Имаха и опашки подобни на скорпинии, и жила; а в опашките си имаха сила да повреждат човеците пет месеца.
baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, "njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye."
Достоен си, Господи наш и Боже наш, да приемеш, слава, почит и сила; защото Ти си създал всичко, и поради твоята воля всичко е съществувало и е било създадено.