Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
lakini mfarisayo mmoja aitwaye gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
da stand aber auf im rat ein pharisäer mit namen gamaliel, ein schriftgelehrter, in ehren gehalten vor allem volk, und hieß die apostel ein wenig hinaustun
"mimi ni myahudi, mzaliwa wa tarso katika kilikia. lakini nililelewa papa hapa mjini yerusalemu chini ya mkufunzi gamalieli. nilifundishwa kufuata kwa uthabiti sheria ya wazee wetu. nilijitolea kwa moyo wote kwa mungu kama ninyi wenyewe mlivyo hivi leo.
ich bin ein jüdischer mann, geboren zu tarsus in zilizien und erzogen in dieser stadt zu den füßen gamaliels, gelehrt mit allem fleiß im väterlichen gesetz, und war ein eiferer um gott, gleichwie ihr heute alle seid,