Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
i shilingi ngap hela ya tanzania 50.000 dola ya malekani
tanzanian shillings 50,000 us dollars
Laatste Update: 2021-01-28
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
uganda: je, uganda inageuka kuwa dola ya kifalme?
uganda: is uganda becoming a monarchy? · global voices
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
kuna zaidi ya vituo 12 elfu vya kupigia kura katika dola ya kitaifa.
jotacê carranca makes the following reflection on the local atmosphere:
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
derakhshan ana pasi ya kanada, lakini irani bado haitambui uraia wa nchi mbili, na kutembelea israeli ni jambo ambalo linaichukiza sana na serikali ya nchi hiyo.
derakhshan holds a canadian passport, but iran does not recognize dual citizenship and visiting israel is frowned upon by the government.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
kwa kujiamini na kwa uhakika, dola ya bahrain inapiga hatua kuelekea katika mafanikio makubwa kabisa kwa mwaka 2013.
the kingdom of bahrain is confidently and surely heading towards the brightest future in 2013.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
kesi za hivi karibuni za mameneja wa viwanja vya ndege vya msumbiji, kufujwa kwa mamilioni ya dola ya fedha za taifa vilikumbusha kuwa ufisadi unaendelea kutokea katika ngazi za juu.
the recent trial of managers of mozambican airports, a state enterprise, for embezzlement of millions of dollars of state monies reminded that corruption continues to occur at a high level.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
dola ya kiislam ya nchini iraq na syria imeweka tena hadharani video nyingine ya mauaji ya kutisha inayoonesha kukatwa kichwa kwa mtu anayedhaniwa kuwa ni mwandishi wa habari wa marekani, steven sotloff.
the islamic state in iraq and syria has shared a second gruesome video which allegedly shows the beheading of american journalist steven sotloff.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
mwisho wa mwezi wa machi, serikali ya kanada ilitangaza dola milioni 275 ya kufadhili miradi 96 ya utafiti wa upimaji wa matibabu dhidi ya covid-19, ikiwemo chanjo kadhaa zilizoteuliwa katika kampuni na vyuo vikuu vya kanada, kama vile mipango ya medicago na chuo kikuu cha saskatchewan.
in late march, the canadian government announced c$275 million in funding for 96 research projects on medical countermeasures against covid-19, including numerous vaccine candidates at canadian companies and universities, such as the medicago and university of saskatchewan initiatives.
Laatste Update: 2020-08-25
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
mkurupuko wa virusi vya korona huenda ikasababisha kuachishwa kazi watu milioni 47 marekani na kiwango cha ukosefu wa ajira huenda ikafika 32%, kulingana na makadirio na benki ya muungano wa hifadhi ya st. lois. kufungwa kwa shughuli za kawaida kwa muda uhindi imesababisha milioni ya wafanyakazi waliohama uhindi (wanaolipwa kupitia mapato ya kila siku) bila kazi.utafiti kutoka taasisi ya angus reid ilipata kuwa 44% ya manyumba ya kanada ziliathirika na aina tofauti ya kukosa kazi.takriban wafanyakazi 900,000 walipoteza kazi zao huko uhispania tangu ilianza kufungwa kwa shughuli za kawaida kwa muda katikati mwa machi 2020.
the coronavirus outbreak could cost 47 million jobs in the united states and unemployment rate may hit 32%, according to estimates by the federal reserve bank of st. louis.the lockdown in india has left tens of millions of indian migrant workers (who are paid through daily wages) unemployed.the survey from the angus reid institute found that 44% of canadian households have experienced some type of unemployment.nearly 900,000 workers lost their jobs in spain since it went into lockdown in mid-march 2020.
Laatste Update: 2020-08-25
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie: