Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
watu 60 wauawa kwa msongamano nchini abidjan
struggling to make sense of the deadly stampede on new year day in abidjan · global voices
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
abidjan na maeneo mengine ya côte d'ivoire yamekumbwa na mafuriko makubwa katika majuma kadhaa yaliyopita .
abidjan and other regions of côte d'ivoire have been plagued by heavy downpour and floods for the past weeks .
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
ilianzishwa mwaka 2011 wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi na ikazinduliwa kwa mara nyingine tena wakati mafuriko yaliyoikumba abidjan na nchi hiyo yote.
it was created in 2011 in the aftermath of the post-electoral crisis. the hashtag was revived again as floods marred abidjan and the rest of the country.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
reli lazima iendelezwe siku zijazo kwa miji mitatu mingine mikuu ya mkoa afrika magharibi: abidjan, ouagadougou na lomé.
the railway should extend in the future to three other capital cities of the west african region : abidjan, ouagadougou and lomé.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
israel yoroba jijini abidjan anaripoti kuhusu msongamano huo wa kutisha wakati watu wengi wakiwa wamekusanyika kusubiri kushuhudia milipuko ya fataki kuashirika mwaka mpya katika wilaya ya plateau.
israel yoroba in abidjan reports on a lethal stampede as people gathered to watch fireworks at the plateau district to ring in the new year.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
tamasha la kwanza la africa web festival litafanyika jijini abidjan, côte d'ivoire (novemba 24-26).
the first africa web festival will take place in abidjan, côte d'ivoire (november 24-26).
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
magogo ya miti yaliyokuwa yameanguka barabarani yanaonekana kusababisha msongamano mkubwa na ulioua watu 60 na kujeruhi wengine 49 wakati wa sherehe za kuukaribisha mwaka mpya mjini abidjan, côte d'ivoire.
tree trunks laying on the road seem to have triggered the stampede that killed 60 and injured 49 during a new year celebration in abidjan, côte d'ivoire.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mnamo tarehe 31 machi, vikosi vya majeshi ya frci, ambao ni waasi wanaomuunga mkono rais anayetambuliwa na jumuiya ya kimataifa, alassane ouattara, viliingia jijini abidjan, mji mkuu wa ivory coast.
on march 31, the republican forces (frci) rebels loyal to internationally recognised president alassane ouattara entered abidjan, the main city of côte d'ivoire.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: