Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
alijua kwamba mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.
and being fully persuaded that, what he had promised, he was able also to perform.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kila moja alijua yaliyotokea yangetokea wakati fulani hapa bamako.
everyone always thought this was bound to happen at some point in #bamako.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.
for he knew that for envy they had delivered him.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
(alisema hivyo kwa kumjaribu filipo, kwani alijua mwenyewe atakalofanya.)
and this he said to prove him: for he himself knew what he would do.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi yesu kwake kwa sababu ya wivu.
for he knew that the chief priests had delivered him for envy.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kwa hakika mwenyezi mungu amewapa radhi waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua yaliyomo nyoyoni mwao.
allah was certainly pleased with the faithful when they swore allegiance to you under the tree.
Laatste Update: 2014-07-03
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alijua mawazo yao, akawaambia, "enyi watu wenye imani haba! mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate?
which when jesus perceived, he said unto them, o ye of little faith, why reason ye among yourselves, because ye have brought no bread?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
alikuwa mzee wa karibu miaka mia moja, lakini imani yake haikufifia ingawa alijua kwamba mwili wake ulikuwa kama umekufa, na pia mkewe, sara, alikuwa tasa.
and being not weak in faith, he considered not his own body now dead, when he was about an hundred years old, neither yet the deadness of sara's womb:
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kwa hakika mwenyezi mungu amewapa radhi waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua yaliyomo nyoyoni mwao. basi akateremsha utulivu juu yao, na akawalipa kwa ushindi wa karibu.
allah was well pleased with the believers when they swore allegiance unto thee beneath the tree, and he knew what was in their hearts, and he sent down peace of reassurance on them, and hath rewarded them with a near victory;
Laatste Update: 2014-07-03
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini yesu alijua mawazo yao, akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, "inuka, simama katikati." yule mtu akaenda akasimama katikati.
but he knew their thoughts, and said to the man which had the withered hand, rise up, and stand forth in the midst. and he arose and stood forth.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa wananung'unika juu ya jambo hilo, akawauliza, "je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka?
when jesus knew in himself that his disciples murmured at it, he said unto them, doth this offend you?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
ilikuwa kabla ya sikukuu ya pasaka. yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa baba ilikuwa imefika. alikuwa amewapenda daima watu wake walioko duniani; naam, aliwapenda mpaka mwisho!
now before the feast of the passover, when jesus knew that his hour was come that he should depart out of this world unto the father, having loved his own which were in the world, he loved them unto the end.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alijua kwamba walitaka kumwuliza, basi akawaambia, "je, mnaulizana juu ya yale niliyosema: bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona?
now jesus knew that they were desirous to ask him, and said unto them, do ye inquire among yourselves of that i said, a little while, and ye shall not see me: and again, a little while, and ye shall see me?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak