Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
malema anachukuliwa na mashabiki wake kama sauti ya dhati ya watu masikini wa afrika kusini hususani kwa wito wake kuhusu utaifishwaji wa migodi ya afrika kusini.
malema is regarded by his supporters as the genuine voice of the poor in south africa particularly with his call for nationalisation of south african mines.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
humaidan ameshinda zaidi ya tuzo za kimataifa 140 katika tasnia ya uandishi wa habari picha, na anachukuliwa kuwa mpigapicha bora wa pili wa nchi za kiarabu kushinda katika mashindano ya upigaji picha.
humaidan has won more than 140 international awards in photojournalism, and he is considered the second most arab photographer to win awards in photography competitions.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
passang tshering, mwanablogu wa bhutan na mwalimu wa kompyuta kwenye shule ya sekondari bajothang, bhutan, anashangazwa kwa nini bob marley anachukuliwa kuwa alama ya vijana wa kibhutan leo.
passang tshering, a bhutanese blogger and computer teacher at the bajothang higher secondary school, bhutan, wonders why bob marley is considered iconic among the bhutanese youth today.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
josé carbajal anachukuliwa kuwa gwiji na utambulisho wa uruguay "canto popular" wa uruguay kama anavyoeleza martin charquero (@martincharquero) kupitia twitter.
josé carbajal is considered an icon of uruguayan "canto popular" , as martin charquero (@martincharquero) explains via twitter.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
rais aliye madarakani goodluck johnathan, makamu wa rais wa zamani ambaye alichukua madaraka baada ya kifo cha aliyemtangulia mwaka jana, anachukuliwa kama mgombea anayeongoza; mshindani wake wa karibu anategemewa kuwa mohammadu buhari, ambaye kwa muda mfupi aliongoza nchi hiyo mnamo miaka ya 1980.
incumbent goodluck johnathan, the former vice-president who assumed office after his predecessor's death last year, is perceived as the frontrunner; his closest competition is expected from mohammadu buhari, who briefly governed the country during the 1980s.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: