Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
chini na khamenei katika mitaa ya tehran kumbukeni mashahidi
down with khamenei in the streets of tehran remember the martyrs
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
waandamanaji jijini teherani walikanyagakanyaga picha ya kiongozi mkuu wa kidini nchini humo, ayatollah ali khamenei, kitendo ambacho wala kisingefikiriwa miezi michache tu iliyopita.
protesters in tehran trampled on a portrait of the country's supreme leader, ayatollah ali khamenei, an act that would have been unimaginable a few months ago.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
maelfu ya waandamanaji hawakuujali utawala wa kiislamu leo kwa kuandamana wakati wa siku ya mwanafunzi, wakiimba kaulimbiu dhidi ya ali khamenei, kiongozi wa jamuhuri ya kiislamu, na wakipinga sera ya mambo ya nje ya serikali.
thousands of protesters defied the islamic regime today by protesting during student day, chanting slogans against ali khamenei, the leader of the islamic republic, and protesting the government's foreign policy.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kayhan, gazeti lililo na uhusiano na kiongozi mkuu wa kidini, ayatollah khamenei, katika ukurasa wake wa mbele lilichapisha picha ya kijana wa yemen wa kihouthi akiwa amekalia kitu ambacho kilionekana kama mabaki ya roketi yaliyotokana na mashambuli ya anga ya ndege za kivita za saudi arabia dhidi ya wapiganaji wa houthi.
kayhan, a newspaper associated with supreme leader ayatollah khamenei's office, published their frontpage with the photo of a young houthi yemeni boy sitting on what seems to be rocket that remains from the saudi arabian airstrikes against houthi fighters.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
belgiran anaandika kwamba kiongozi wa irani, ali khamenei, alimpindua mousavi hata kabla hajakuwa rais na akamweka ahmadinejad… anaandika, “utawala huu umepoteza uaminifu mdogo uliokuwepo.”
belgiran writes that iranian leader, ali khamenei, overthrew moussavi by a coup before he even bacame president and replaced him with ahmadinejad... he writes, "this regime just lost the little legitimacy that it had."
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak