Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
lakini wakati unapoilaumu anc, basi wekeni mambo katika muktadha husika,” sapa ilimnukuu mthembu akisema.
but when you blame the anc, then contextualise it,” sapa quotes mthembu as saying.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kwa mantiki ya mthembu, inakubalika kabisa kuchochea watu waue watu wengine, ikiwa tu kuna “mazingira au hali inayoruhusu”.
by mthembu’s logic, it is completely acceptable inciting people to kill others, provided there is “context”.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
jackson mthembu, msemaji wa anc, ni dhahiri anamtetea, anasema kuwa halikuwa kosa lake na kwamba alinukuliwa, au lolote lile, nje ya muktadha.
mr. jackson mthembu, spokesperson of the anc, is actually defending him, saying it is not his fault and that he was quoted, or whatever, out of context.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
msemaji wa anc jackson mthembu aliiambia sapa kwa simu alhamisi asubuhi kuwa atamtetea malema na kwamba wimbo huo angaliwe katika mazingira ulipoimbwa (soma makala nzima).
anc spokesman jackson mthembu told sapa by phone on thursday morning that he will defend malema and that the song should be seen in context (read full article).
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
msemaji wa anc jackson mthembu ametetea toleo lisilo maarufu la wimbo huo wa “ueni makaburu, ni wabakaji”, kama uilvyoimbwa na julius malema akidai (kwa mujibu wa makala ya sapa) kwamba “ mmaneno yaw imbo huo yanukuliwa nje ya muktadha”.
anc spokesman jackson mthembu has defended julius malema’s lusty renditions of the infamous “kill the boers, they are rapists” song, arguing (according to this sapa article) that the “the lyrics of the song had been quoted out of context”.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: