Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van: Machinevertaling
Stel een betere vertaling voor
Kwaliteit:
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
hutatarajiwa kufanya kazi kwa saa za ziada ili kufikia makataa ambayo kwa sasa hayawezekani.
you will not be expected to work extra hours to meet deadlines which are now unrealistic.
Laatste Update: 2020-08-25
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mara baada ya saa 1 jioni kwa saa za haiti, morse aliandika kwamba:
police sta, cathedral, downtown teleco, church st anne all destroyed".
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
taarifa za hivi punde - saa 12: 44 jioni kwa saa za maputo:
update - 18:44 pm maputo time:
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mkutano huo wa kisiasa ulifanyika katikati ya mji wa antananarivo majira ya mchana, saa za madagaska.
the political gathering took place in downtown antananarivo around noon local time.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
alisema yeye alibishana na mtumishi mmoja wa cpvpv kama kuketi katika maeneo ya umma wakati wa saa za swala ilikuwa kosa.
he said he argued with the cpvpv member whether sitting at public places at prayer times was illegal.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kabla ya saa 11 alfajiri, kwa saa za pakistani, jeshi lilitoa taarifa kwamba wavamizi wote 10 walikuwa wameuawa.
they were in contact with their family during the attack:
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
morse alituma ujumbe huu wa kwanza wa twita kwenye majira ya saa 12 jioni kwa saa za haiti, akiripoti kuwa:
morse posted his initial tweet around 6:00pm haiti time, reporting that:
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
saa za mchana zilikwisha pita. basi, wanafunzi wakamwendea yesu, wakamwambia, "hapa ni nyikani, na sasa kunakuchwa.
and when the day was now far spent, his disciples came unto him, and said, this is a desert place, and now the time is far passed:
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
ili kuzoea ukweli wetu mpya na matarajio ya saa za kufanya kazi kila siku, tunalenga kurekebisha muda wa uwasilishaji wa mpango wetu wa kila mwaka wa 2020-2021.
to adjust to our new reality and daily working hour expectations, we intend to adjust the timeline for the delivery of our 2020-2021 annual plan.
Laatste Update: 2020-08-25
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
ungana nasi moja kwa moja kwenye google hangout ijumaa, mei 22 (saa 9:30 alasiri kwa saa za gmt/utc)
join this live google hangout on friday, may 22 (3:30pm gmt/utc)
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
tetemeko la ardhi la wastani lilitikisa jiji la dhaka siku ya tarehe 27 julai mnamo muda wa saa 00:51 kwa saa za bangladeshi (+6 gmt).
a moderate earthquake jolted dhaka city on the 27th of july approximately at 00:51 hours bangladesh time (+6 gmt).
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu akajibu, "je, saa za mchana si kumi na mbili? basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.
jesus answered, are there not twelve hours in the day? if any man walk in the day, he stumbleth not, because he seeth the light of this world.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
baada ya saa za mchana kupita, habari zilianza kuenea kupitia mitandao ya kijamii kwamba hali ilikuwa mbaya sana kwenye kituo cha kibiashara cha westgate, eneo moja wapo maarufu kwa wageni na wa-kenya wa tabaka la kati.
shortly after noon, news started trickling through the social network that something had gone horribly wrong at westgate mall, one of nairobi's most popular locations for foreigners and middle-class kenyans.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
" “mtangazaji habari wa zamani wa televisheni ya misri na mwanaharakati bothaina kamel alitangaza kwenye ukurasa wake wa twita usiku wa ijumaa saa za cairo kwamba ana mipango ya kugombea urais kwenye duru inayofuata ya uchaguzi, na kumfanya awe mwanamke wa kwanza kutangaza nia ya kutaka kuingia kwenye ofisi kuu nchini misri", manar ammar
"former egyptian television anchor and activist bothaina kamel announced on her twitter account late friday evening cairo time that she plans to run for president in the next round of elections, making her the first woman ever to announce her candidacy for egypt’s highest office", manar ammar
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
Enkele menselijke vertalingen met lage relevantie werden verborgen.
Toon lage-relevantie resultaten.