Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
wakamwambia, "yesu wa nazareti anapita."
and they told him, that jesus of nazareth passeth by.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi, wakamwambia, "hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi."
and they answered, that they could not tell whence it was.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi, wakamwambia, "mheshimiwa, tupe daima mkate huo."
then said they unto him, lord, evermore give us this bread.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
wakamwambia, "mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?"
and they said unto her, there is none of thy kindred that is called by this name.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
lakini wao wakamwambia, "tunayo mikate mitano tu na samaki wawili."
and they say unto him, we have here but five loaves, and two fishes.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
alipokuwa bado njiani, watumishi wake walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima.
and as he was now going down, his servants met him, and told him, saying, thy son liveth.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, wayahudi wakamwambia, "wewe hujatimiza miaka hamsini bado, nawe umemwona abrahamu?"
then said the jews unto him, thou art not yet fifty years old, and hast thou seen abraham?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
wayahudi wakamwambia, "je, hatukusema kweli kwamba wewe ni msamaria, na tena una pepo?"
then answered the jews, and said unto him, say we not well that thou art a samaritan, and hast a devil?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
wanafunzi wakamwambia, "hapa tuko nyikani; tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?"
and his disciples say unto him, whence should we have so much bread in the wilderness, as to fill so great a multitude?
Laatste Update: 2012-10-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi walipo kuja wachawi wakamwambia firauni: je! tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?
and when the magicians arrived, they said to pharaoh, "is there indeed for us a reward if we are the predominant?"
Laatste Update: 2014-07-03
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, "jana saa saba mchana, homa ilimwacha."
then inquired he of them the hour when he began to amend. and they said unto him, yesterday at the seventh hour the fever left him.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya roho, wakamwambia paulo asiende yerusalemu.
and finding disciples, we tarried there seven days: who said to paul through the spirit, that he should not go up to jerusalem.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia yesu, "tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya sabato."
but when the pharisees saw it, they said unto him, behold, thy disciples do that which is not lawful to do upon the sabbath day.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
watumishi wa yule mwenye shamba wakamwendea, wakamwambia, mheshimiwa, bila shaka ulipanda mbegu nzuri katika shamba lako. sasa magugu yametoka wapi?
so the servants of the householder came and said unto him, sir, didst not thou sow good seed in thy field? from whence then hath it tares?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kisha yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, "tufafanulie ule mfano wa magugu shambani."
then jesus sent the multitude away, and went into the house: and his disciples came unto him, saying, declare unto us the parable of the tares of the field.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, "binti yako amekwisha kufa. ya nini kuendelea kumsumbua mwalimu?"
while he yet spake, there came from the ruler of the synagogue's house certain which said, thy daughter is dead: why troublest thou the master any further?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
wakamwambia yule mama, "sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli mwokozi wa ulimwengu."
and said unto the woman, now we believe, not because of thy saying: for we have heard him ourselves, and know that this is indeed the christ, the saviour of the world.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
waliposikia hayo, walimtukuza mungu. kisha wakamwambia paulo, "ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya wayahudi ambao sasa wamekuwa waumini na wote hao wanashika kwa makini sheria ya mose.
and when they heard it, they glorified the lord, and said unto him, thou seest, brother, how many thousands of jews there are which believe; and they are all zealous of the law:
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
jua lilipokuwa linaanza kutua, wale kumi na wawili walimwendea wakamwambia, "waage watu waende kwenye vijiji na mashamba ya karibu, wakajipatie chakula na mahali pa kulala, kwa maana hapa tulipo ni nyikani."
and when the day began to wear away, then came the twelve, and said unto him, send the multitude away, that they may go into the towns and country round about, and lodge, and get victuals: for we are here in a desert place.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak