Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
washairi mehdi mousavi na fatemeh ekhtesari wametokomea nchini uajemi.
poets mehdi mousavi and fatemeh ekhtesari disappeared in iran.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kwa mujibu wa taarifa za habari, washairi hao wamewekwa kizuizini tangu mwanzoni wa mwezi desemba.
news reported that the two have been detained since early december.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
zaidi ya watu mia mbili wametia saini hati ya malalamiko mtandaoni na kutoa wito kwa umoja wa mataifa kuchukua hatua kuhusiana na hali za wanaharakati wa utamaduni hususani suala la washairi hao vijana nchini irani.
more than two hundred people signed an online petition and called on the un to take action about the situation of cultural activists particularly the case of these two young poets in iran.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
blogu hiyo ina sehemu kwa ajili ya mashairi yanayoanndikwa na washairi kadhaa wa kiafrika, mahojiano na washairi, waandishi vile vile na habari na taarifa juu ya washairi wa kimataifa na waandishi hali kadhalika.
the blog features poetry by various african poets, interviews with poets, writers as well news and information on world renowned poets and writers alike.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
blogu hiyo pia ina zana nyingi kwa washairi wanaochipukia kwani ina orodha ya viungo vinavyoelekea kwenye majarida yanayochapisha ushairi, waandishi ambao wameonyeshwa kwenye blogu na viungo vingi vinavyovutia waandishi hii ikiwa ni pamoja na picha za sura zao.
the blog also has a lot of resource material for would be poet as it lists links to various poetry publishing magazines, writers who have been featured in the blog and other links of interest to writers including their potrait photos.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kama alivyosema mtu mmoja: ndani yake yeye sisi tunaishi, tunajimudu, na tuko! ni kama washairi wenu wengine walivyosema: sisi ni watoto wake.
for in him we live, and move, and have our being; as certain also of your own poets have said, for we are also his offspring.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
katika insha yake ya pili, "wakati ni huu", williams anapendekeza kwamba "kundi la wasomi, wahariri na wasanifu wenye visheni ... wanaosukumwa na roho chipukizi na ya kijasiriamali" hawana budi "kuchukua changamoto ya kuunda mahali katika mtandao patapotumiwa na waandishi na washairi wetu wanaohangaika ili kuwasaidia waweze kusimama kwa miguu yao ili kwa upande wao nao pia walete maarifa na msisimko mpya."
in his second essay, "now is the time", williams proposes that "a group of intellectual, editorial and it visionaries with ... pioneering spirit and the entrepreneurial drive" ought to "take up the challenge of creating an online home for our struggling writers and poets to help them stand on their feet so they in turn can help usher in a new dawn of knowledge and enlightenment."
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak