Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
najua kwamba ninyi ni wazawa wa abrahamu. hata hivyo, mnataka kuniua kwa sababu hamuyakubali mafundisho yangu.
mi scias, ke vi estas idaro de abraham; sed vi celas mortigi min, cxar mia vorto ne progresas en vi.
sara kwa mfano alimtii abrahamu na kumwita yeye bwana. ninyi mmekuwa sasa binti zake kama mkitenda mema bila kuogopa tisho lolote.
kiel sara obeis al abraham, nomante lin sinjoro; kies infanoj vi farigxis, bonfarante, kaj ne ektimigate per ia teruro.
huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona abrahamu kwa mbali na lazaro karibu naye.
kaj en hades li levis siajn okulojn, estante en turmentoj, kaj vidis abrahamon malproksime kaj lazaron sur lia sino.
je, abrahamu baba yetu alipataje kukubalika mbele yake mungu? kwa matendo yake, wakati alipomtoa mwanae isaka sadaka juu ya madhabahu.
cxu nia patro abraham ne pravigxis per faroj, oferinte sian filon isaak sur la altaro?
"ikatokea kwamba huyo maskini akafa, malaika wakamchukua, wakamweka karibu na abrahamu. na yule tajiri pia akafa, akazikwa.
kaj la almozulo mortis, kaj li estis forportita de la angxeloj sur la sinon de abraham; la ricxulo ankaux mortis, kaj estis enterigita.
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
kaj cxu ne devis cxi tiu virino, estante filino de abraham, ligite de satano jen dek ok jarojn, esti malligita el cxi tiu kateno en la sabata tago?
kwa hivyo, abrahamu alihama nchi ya kaldayo, akaenda kukaa harani. baada ya kifo cha baba yake, mungu alimtoa tena harani akaja kukaa katika nchi hii mnayokaa sasa.
tiam li iris el la lando de la hxaldeoj, kaj logxis en hxaran; kaj el tie, post la morto de lia patro, li translogxigis lin en cxi tiun landon, kie vi nun logxas;
basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu abrahamu mpaka daudi, vizazi kumi na vinne tangu daudi mpaka wayahudi walipochukuliwa mateka babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa kristo.
tial cxiuj generacioj de abraham gxis david estas dek kvar generacioj, kaj de david gxis la translogxigxo en babelon dek kvar generacioj, kaj de la translogxigxo en babelon gxis la kristo dek kvar generacioj.
kwa imani, abrahamu alimtoa mwanae isaka sadaka wakati mungu alipomjaribu. huyo abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
per la fido abraham, provate, oferis isaakon; tiu, kiu akceptis la promesojn, ekoferis ja sian solenaskiton;