Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
kaj oni venis, alportante al li paralizulon, portatan de kvar homoj.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "mwanangu, umesamehewa dhambi zako."
kaj jesuo, vidante ilian fidon, diris al la paralizulo:filo, viaj pekoj estas pardonitaj.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya yesu.
kaj jen viroj alportis sur lito viron, kiu estis paralizita; kaj ili penis enporti lin kaj meti lin antaux li.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, nataka mjue kwamba mwana wa mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani." hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza,
sed por ke vi sciu, ke la filo de homo havas auxtoritaton sur la tero pardoni pekojn-li diris al la paralizulo:
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia mtu huyu aliyepooza, umesamehewa dhambi zako, au kumwambia, inuka! chukua mkeka wako utembee?
kio estas pli facila:diri al la paralizulo:viaj pekoj estas pardonitaj; aux diri:levigxu, prenu vian liton, kaj piediru?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya yesu.
kaj ne trovinte, kiamaniere ili povas enporti lin, pro la homamaso, ili supreniris sur la tegmenton, kaj mallevis lin tra la tegoloj, kun la liteto, en la mezon antaux jesuo.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, nataka mjue kwamba mwana wa mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani." hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, "simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani."
sed por ke vi sciu, ke la filo de homo havas auxtoritaton sur la tero pardoni pekojn-li diris al la paralizulo:mi diras al vi:levigxu, kaj prenu vian liteton, kaj iru al via domo.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak