Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.
ותרמית לא נמצאה בפיהם כי תמימים המה לפני כסא האלהים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mmemhukumu na kumwua mtu asiye na hatia, naye hakuwapigeni.
הרשעתם והמתם את הצדיק והוא נענה לא יפתח פיו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yeyote, walitaka kuniacha.
והם אחרי חקרם אתי אמרו לפטרני כי לא נמצא בי משפט מות׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.
כי איש אשר יקים את כל התורה ונכשל בדבר אחד הוא אשם אשם בכלם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia siku ile ya bwana wetu yesu kristo.
אשר גם יקים אתכם ער עת קץ להיות נקיים ביום אדנינו ישוע המשיח׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini mkiwabagua watu, basi, mwatenda dhambi, nayo sheria inawahukumu ninyi kuwa mna hatia.
אולם אם תשאו פנים תחטאו במעשיכם והתורה תוכיחכם כעברים אותה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
לולא באתי ודברתי אליהם לא היה בהם חטא ועתה לא יוכלון להתנצל על חטאתם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
maana kwa maneno yako, utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako, utahukumiwa kuwa na hatia."
כי מדבריך תצדק ומדבריך תחיב׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
kama tu mngejua maana ya maneno haya: nataka huruma wala si dhabihu, hamngewahukumu watu wasio na hatia.
ולו ידעתם מה הוא חסד חפצתי ולא זבח לא הרשעתם את הנקים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini anayesema mabaya dhidi ya roho mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
אך המגדף את רוח הקדש אין לו סליחה לעולם כי יאשם בעונו לנצח׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
au je, hamjasoma katika sheria kwamba kila siku ya sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?
או הלא קראתם בתורה כי בשבתות יחללו הכהנים את השבת במקדש ואין להם עון׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kwa hiyo wapenzi wangu, mkiwa mnangojea siku ile, fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya mungu, na kuwa na amani naye.
על כן אהובים אשר לאלה חכיתם שקדו להמצא לפניו בשלום נקים וזכים מפשע׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na baba yangu pia.
לולא עשיתי בתוכם את המעשים אשר איש זולתי לא עשה לא היה בהם חטא ועתה ראו וישנאו גם אתי גם את אבי׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mzee wa kanisa anapaswa kuwa mtu asiye na hatia; aliye na mke mmoja tu, na watoto wake wanapaswa kuwa waumini, wasiojulikana kuwa wakorofi au wakaidi.
אם ימצא איש תם ובעל אשה אחת ויש לו בנים מאמינים ואין עליהם טענת פריצות ואינם סוררים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
pilato akatoka tena nje, akawaambia, "tazameni, namleta nje kwenu, mpate kujua kwamba mimi sikuona hatia yoyote kwake."
ויצא פילטוס עוד החוצה ויאמר אליהם הנני מוציא אתו אליכם למען תדעו כי לא מצאתי בו כל עון׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
maana kwa vile kiongozi wa kanisa ni mkurugenzi wa kazi ya mungu, anapaswa kuwa mtu asiye na hatia. asiwe mwenye majivuno, mwepesi wa hasira, mlevi, mkorofi au mchoyo.
כי פקיד העדה צריך להיות איש תם כסכן לאלהים לא עמד על דעתו ולא רגזן ולא אהב יין ולא בעל אגרף ולא נטה אחרי הבצע׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu--roho, mioyo na miili yenu--mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake bwana wetu yesu kristo.
והוא אלהי השלום יקדש אתכם קדשה שלמה וכל רוחכם ונפשכם וגופכם ישמר תמים בבוא אדנינו ישוע המשיח׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu akawajibu, "kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa ninyi mwasema: sisi tunaona, na hiyo yaonyesha kwamba mna hatia bado.
ויאמר אליהם אם עורים הייתם לא היה בכם חטא ועתה כי אמרתם פקחים אנחנו חטאתכם תעמד׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
makuhani wakuu na walinzi walipomwona wakapaaza sauti: "msulubishe! msulubishe!" pilato akawaambia, "mchukueni basi, ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa maana mimi sikuona hatia yoyote kwake."
ויהי כאשר ראהו הכהנים הגדולים והמשרתים ויצעקו לאמר הצלב הצלב ויאמר אליהם פילטוס קחהו אתם והצליבהו כי אנכי לא מצאתי בו אשמה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak